lumia21
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 271
- 243
Napenda kuwapa angalizo wafanyabishara hasa wanaofanya biashara mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa.
Kuna kundi la matapeli katika kata ya Rudewa.. Huku wanajulikana kama walebanoni
Hawa jamaa wanatapeli watu nje nje.. Na wanakula na polisi.. So angalizo kwa wafanya biashara huku mie nawaona watu wanalia...
*Lumia*
Kuna kundi la matapeli katika kata ya Rudewa.. Huku wanajulikana kama walebanoni
Hawa jamaa wanatapeli watu nje nje.. Na wanakula na polisi.. So angalizo kwa wafanya biashara huku mie nawaona watu wanalia...
*Lumia*