Huu ndio utajiri mkubwa kuliko wote duniani...

Huu ndio utajiri mkubwa kuliko wote duniani...

Mungu kakuumba mwnadamu akakupa akili ya kujua mema na mabaya.. So tenda mema,usiwaze sana kuhusu wafuasi wa ibilisi maana wamekwisha kuhukumiwa.

Tenda mema,wacha maswali zenye hazina mashiko.

Sijakuelewa na haujajibu maswali yangu
 
Ni kweli hatuna budi kukumbushana mambo kama haya ambayo ni ya msingi zaidi....
Hiyo post yako ni miongoni ya mada chache sana, zinazowekwa humu kwenye social medias, ambayo ina manufaa makubwa sana kwa binadamu.

Tatizo kubwa linalokabili kizazi cha sasa ni kuamini kuwa mtu anapokuwa na mali nyingi hapa duniani, ndiyo atakuwa amesolve kila kitu.

Lakini ukweli ni kuwa unapozidi kuwa na mali nyingi, most of the time ndiyo unapojiona amani moyoni mwako inakuwa imetoweka kwa kuwa concentration yako kubwa na muda wako mwingi inakuwa ni kuusaka utajiri mwingi zaidi na zaidi endlessly.

Kutokana na hali hiyo mtu wa namna hiyo hawezi hata kupata muda kidogo wa kumuabudu Mungu wake aliyemuumba na aliyempa baraka kumpa mali hizo, badala yake yeye wakati wote huona mali kama ndiyo Mungu wake!

Imenenwa katika amri kumi za Mungu, katika amri ya kwanza kabisa kuwa mpende bwana Mungu wako kuliko kitu kingine chochote, sasa inapotokea binadamu anaabudu mali zaidi kuliko Mungu wake, inakuwa ni chukizo kubwa sana mbele ya Mungu.

Ndiyo maana Yesu alipokuwa hapa duniani alinena kuwa chances za tajiri kuuona ufalme wa mbinguni, ni sawasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
 
Imenenwa pia katika vitabu vya dini kuwa huwezi kutumikia mabwana wawili, yaani mali na Mungu, kwa kuwa utaconcentrate zaidi katika kutumikia zaidi mali zako kuliko kumtumikia Mungu wako.

Kwa bahati mbaya sana Shetani huwa anawatia binadamu artificial blindness, jambo ambalo linalowafanya wasiubaini ukweli kuwa hakuna haja ya kuhangaika sana kupita kiasi kuusaka utajiri wa kupita kiasi hapa duniani, wakati muda tuliowekewa na Mungu kuishi hapa duniani ni kipindi kifupi.

Kwa hiyo kilicho cha muhimu sana kwetu binadamu ni kujiwekea hazina mbinguni, ambako ndiyo makazi yetu ya kudumu.

Hazina hiyo unaiweka mbinguni, kwa kutenda mambo mema hapa duniani na kuepuka kutenda mambo yote maovu ambayo ni machukizo kwa Mungu, ambayo yatafanya uhukumiwe kwenda kwenye ziwa la moto, ambako ni jehanum.
 
Uliyosema yote no kweli..
But ulipoaanza kuusisha na mambo ya sijui ufalme wa mungu aaaahhhh apo ndio ulipokoseaaa...

Mungu kama kweli yupo Basi ameiacha dunia ijiendeshe yenyewe na mahangaiko yake...

Kwanini watu wanaumwa na kuteseka na maumivu?

Kwanini wengine wanakula wanasaza lakini mtoto mchanga asiye na hatia anateseka na maumivu ya njaa mpaka anakufa?

Kwanini tumeletwa duniani kwenye mateso na kama vile tupo kwenye interview ya mungu kutupima eti kama tunamfata kwa promise ya kuishi huko paradiso firdausi ?

Kwanini mungu asingeweka kitu natural kumuabudu kwa binadamu wote kama ilivo kusikia hamu ya kula vile?

Kwanini inaonekana watu Wa jamii flani ndio Wa mungu hama wao ndio waliooneshwa uwepo wake katika hii dunia...is god a racist?

Kama kweli mungu yupo alikuwa hana haja ya yote hayoo.....
Duniani hapa ure destiny is ure destiny....no matter wat.

Usichokijua ni kuwa Mungu kamuumba mwana adamu akiwa na utashi kamili wa utambuzi wa baya na zuri...na ndio maana kwa wanaadamu kuna akitenda tukio baya linalo mchukiza muumba huitwa dhambi na hupewa hukumu kwa dhambi hiyo...kwani aliifanya akiwa na ufahamu...
Hata serikali za kidunia kwa kutambua ufahamu wa mwanadamu zikaundwa sheria ili kila mtu au waishi katika mstari ulionyooka na kama ukivunja hizo sheria na ikithibika na mahakama kuwa umevunja hizo sheria au taratibu unapata adhabu kulingana na kosa lako na taratibu za sehemu husika....
 
Utajiri mkubwa kuliko wote duniani upo MAKABURINI
BY Dr Myles Munroe 1424066570823.jpg
 
So you're talking abt Baraka zote na maisha yote ya mtu.....

So ukimtambua mungu Wa kweli hautaishi kwa tabu?
Au unamaana gani

Try kujibu maswali japo mawilii?

Nmesoma Dini zote mbili bado sijapata majibu ya hayo maswali...uislam na ukristo.

Sikununu,

Kweli umesoma dini zote uislam na ukristo?

Kuna kitu kinaitwa kudra za mwenyeeziMungu za kheri na za shari je unazijua? Na kuziamini?

Na katika moja wapo ya nguzo za dini kuna inayosema tutoe zakka kwa mafakiri na maskini je binaadam tunaitekekeza? je kwenye matatizo tunasaidiana?

Huoni kuwa ni sisi binaadam ndo tuno create matatizo kwa asilimia kubwa duniani? Kwa sababu hatufuati maamrisho ya Mungu, tajiri atataka ajilimbikizie mali zaidi na zaidi na kusahau kama kuna mafakiri wanataka kusaidiwa. Au mtu anamuua mwenzie kwa sababu ya kitu, mwenye kushiba hataki hata kumuangalia mwenye njaa. Watu tuna hasad.

Kwa sasa naomba niishie hapo
 
Mkuu Sukununu, nadhani umejiuliza maswali mengi ambayo wengi wao huwa wajiuliza, lkn ukweli ni kuwa Mungu si dikteta ndio maana ameacha binadamu aweze kufanya anachofanya
 
Sikununu,

Kweli umesoma dini zote uislam na ukristo?

Kuna kitu kinaitwa kudra za mwenyeeziMungu za kheri na za shari je unazijua? Na kuziamini?

Na katika moja wapo ya nguzo za dini kuna inayosema tutoe zakka kwa mafakiri na maskini je binaadam tunaitekekeza? je kwenye matatizo tunasaidiana?

Huoni kuwa ni sisi binaadam ndo tuno create matatizo kwa asilimia kubwa duniani? Kwa sababu hatufuati maamrisho ya Mungu, tajiri atataka ajilimbikizie mali zaidi na zaidi na kusahau kama kuna mafakiri wanataka kusaidiwa. Au mtu anamuua mwenzie kwa sababu ya kitu, mwenye kushiba hataki hata kumuangalia mwenye njaa. Watu tuna hasad.

Kwa sasa naomba niishie hapo
Mie nmeuliza maswali we unatoa maelezo,nimezaliwa na kukua katika jamii ya kidini hayo yote uliyoyasema nayajua kwa miaka mingi...

Kwahiyo ukifata mafundisho ya mungu hautapata matatizo?

Kwanini watu ni masikini na makafiri na inatakiwa tuwasaidie kwenye matatizo na kwanini wanamatatizo?
 
Sikununu,

Kweli umesoma dini zote uislam na ukristo?

Kuna kitu kinaitwa kudra za mwenyeeziMungu za kheri na za shari je unazijua? Na kuziamini?

Na katika moja wapo ya nguzo za dini kuna inayosema tutoe zakka kwa mafakiri na maskini je binaadam tunaitekekeza? je kwenye matatizo tunasaidiana?

Huoni kuwa ni sisi binaadam ndo tuno create matatizo kwa asilimia kubwa duniani? Kwa sababu hatufuati maamrisho ya Mungu, tajiri atataka ajilimbikizie mali zaidi na zaidi na kusahau kama kuna mafakiri wanataka kusaidiwa. Au mtu anamuua mwenzie kwa sababu ya kitu, mwenye kushiba hataki hata kumuangalia mwenye njaa. Watu tuna hasad.

Kwa sasa naomba niishie hapo
Kamwe hawezi kukuelewa kwa sababu akili yake ameielekeza kwenye ubishani na sio kujifunza.......
 
Usichokijua ni kuwa Mungu kamuumba mwana adamu akiwa na utashi kamili wa utambuzi wa baya na zuri...na ndio maana kwa wanaadamu kuna akitenda tukio baya linalo mchukiza muumba huitwa dhambi na hupewa hukumu kwa dhambi hiyo...kwani aliifanya akiwa na ufahamu...
Hata serikali za kidunia kwa kutambua ufahamu wa mwanadamu zikaundwa sheria ili kila mtu au waishi katika mstari ulionyooka na kama ukivunja hizo sheria na ikithibika na mahakama kuwa umevunja hizo sheria au taratibu unapata adhabu kulingana na kosa lako na taratibu za sehemu husika....

So wat ure telling me unaziihamini mamlaka za duniani
Mbona zinafanya vitu visivyo pendeza?
 
So wat ure telling me unaziihamini mamlaka za duniani
Mbona zinafanya vitu visivyo pendeza?
Nilikuwa najaribu kukupa concept ya nafsi huru......nikiwa na maana kuwa kwa kuwa mtu anakuwa na nafsi huru anaweza akaamua kufanya mabaya au akaamua kufanya mazuri........akifanya mabaya anapata dhambi na atahukumiwa kwa dhambi hizo na akifanaya mazuri anapata Baraka kutoka kwa muumba wake...........
 
Nilikuwa najaribu kukupa concept ya nafsi huru......nikiwa na maana kuwa kwa kuwa mtu anakuwa na nafsi huru anaweza akaamua kufanya mabaya au akaamua kufanya mazuri........akifanya mabaya anapata dhambi na atahukumiwa kwa dhambi hizo na akifanaya mazuri anapata Baraka kutoka kwa muumba wake...........

Hapo kwenye nafsi huru nmekubali but kuna swali niliuliza hiyo dhambi na hizo Baraka effect zake zipo hapa duniani?
 
Kamwe hawezi kukuelewa kwa sababu akili yake ameielekeza kwenye ubishani na sio kujifunza.......

Sasa hapo mie nmebisha nini mjomba..
Mie nmeuliza maswali lakini hakuna aliyenijibu..
Tatizo naloliona ni uoga.....
 
Hapo kwenye nafsi huru nmekubali but kuna swali niliuliza hiyo dhambi na hizo Baraka effect zake zipo hapa duniani?
Baraka ni vile mambo yako yanavyokunyookea na mipango yako kukamilika na bila kusahau kujawa na amani ya nafsi......dhambi adhabu zitatolewa siku ya hukumu kwa sisi tunaoamini...........
 
Mie nmeuliza maswali we unatoa maelezo,nimezaliwa na kukua katika jamii ya kidini hayo yote uliyoyasema nayajua kwa miaka mingi...

Kwahiyo ukifata mafundisho ya mungu hautapata matatizo?

Kwanini watu ni masikini na makafiri na inatakiwa tuwasaidie kwenye matatizo na kwanini wanamatatizo?

Utapatwa na matatizo ndugu, hizo ni kudra kwa siku hizi tunaita mitihani, na ukiziami kudra basi ukubali za kheri na za shari. Yaani uwe tayari kupokea raha na shida, uzima na maradhi, utajiri na ufakiri, kupata watt na kufiwa na wtt, nk
 
Back
Top Bottom