God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
Watu wengi wamezungumzia sana swala la ukabila na ufisadi ndani ya chadema.
Walioelimika wameelewa na wale watu wazima wanajua historia ya chadema hadi hapa ilipo.
Tatizo linatokea kwa vijana na vibaraka wasiopenda taifa letu. Hawajali wanawapa malkana watu waaina gani bali wao wanafata upepo tuu bila kutafakari.
Pia watu wazima wenye chuki wamekua wakiponda vilivyo CCM ili chadema iingie madarakani lakini Mungu atawalinda watanzania tuu.
Ni kweli nchi ilikiua katika kipindi kigumu mno katika uongozi wa Mh Kikwete ila kuna mazuri yake aliyafanya jamani pamoja na upinzani wote stil Mh Rais aliongozana nao kwenye mambo mengi ya kitaifa ikiwemo michakato ya maendeleo, demokrasia kuwafariji walio kwenye msiba hata misiba ya wapinzani pia aliweza kuleta umoja na ndilo ninalomsifu huyu mkuu na alirudisha JKT ili watu wajifunze uzalendo.
Alikua kakomaa kisiasa pamoja na hali ya nchi haikua nzuri ila bado alipigana kuwaridhisha watanzania.
Mimi nilikua upande waupinzani ila baada ya kuona chokochoko na ubabe wa mbowe nikakimbia na kwa mtizamo wangu ni bora CCM wabaki madarakani maiaka 1000 kuliko hawa wakabila ambao watakuja kuigawa nchi kidini na kikabila na hatimaye tuanze kuuana kama nchi jirani za rwanda na burundi.
Kiongozi kama huyu (Mbowe) keshaonyesha tabia chafu kiasi hiki akikabidhiwa nchi sindo tutaangamia kabisa?
Watanzania nawaomba muwe na busara na msiwe watu wa kukurupuka hata kama mna hasira na mtambue kwamba mimi natokea kaskazini na nimeshaona kabisa huyu Mbowe ni jipu ataigawa nchi akiendelea na ukabila wake.
Kama kaanza kuwamaliza wenzake ndani ya chadema wewe unadhani atajali raia?
Leo hii wako wapi wakina slaa, zitto kabwe na mkumbo? Mimi naona hawa walitengenezewa mazingira tuu ya uongo ili waonekane wachafu kumbe sio.
Na katika uchunguzi wangu huu nimeona chanzo cha haya machafuko ndani ya chama ni kuhusu nafasi ya mwenyekiti wa chadema! ikumbukwe chacha wange na zitto kabwe waliwahi ongelea sana hili jambo na watanzania wengi waliwaelewa ila wale wajinga wakaona eti wanataka madaraka ya juu japokua kuna waliowakuta humo?
Sasa ni demokrasia gani hiyo ya ulafi? kama mwenyekiti umeshindwa kuonyesha mfano wewe ni mtu kweli?
Naomba watanzania wenye nia njema na taifa letu mtoe elimu tujue hawa watu wanaodai madaraka kabla ya kuwapigia kura. Waheshimiwa huku tupeni busara zenu hapa maana mimi kama kijana niliefumbuliwa macho ni sharti langu kuwafumbua na wengine waliopotea.
Wale watakao tukana hapa na kukejeli hatutajali sisi nia yetu ni kupeana elimu juu ya mfumo mzima wa kisiasa ili tuwe aware na political issues na watu wenyewe wanaohusika.
Leo hii yule fisadi mkubwa waliekuwa wanamsema sasa hivi ni malaika eti??
Ila tuaweza kuona wabunge wengi wa chadema wanakubali tuu sababu ya ubabe wa mbowe wanajua akipinga kitakachowakuta ni umauti.
Pitieni hii video hapa ili mjifunze kitu kuhusu huyu mlafi wa madaraka toka 1995 hadi leo anapigana tuu muone alivyo na uchu. Mungu amlaze mahala pema peponi Baba wa taifa hili hayati J K Nyerere kwa busara zake na maono yake ya mbali.
Leo hii toka 1995 alichobashiri ndicho kinachowakumba watanzania ila Kwa neema zake Mwenyezi-Mungu watanzania walio wengi walikuelewa na hawajampigia kura huyu mtu na Mzee huko mbinguni tambua alisha hama CCM saivi yupo chadema na alishindwa uchaguzi na ufisadi aliuendeleza hadi alipojiuzulu uwaziri mkuu 2007.
Leo hii mshirika wako wa karibu (Slaa) umemtema wewe ni mtu kweli?
Naomba moderators wasittoe huu uzi jamani wala ku merge kwenye mada nyingine hata kama hili jambo lishazungumzwa sio ubaya kulitafakari tena.
Natanguliza shukrani kwenu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI WANANCHI WAKE DAIMA TUPENDANE NA TUDUMISHE UMOJA WETU NA WALE WENYE NIA MBAYA NA TAIFA LETU WASHINDWE WALEGEE KWA JINA LAKO.
NAWASILISHA.
Walioelimika wameelewa na wale watu wazima wanajua historia ya chadema hadi hapa ilipo.
Tatizo linatokea kwa vijana na vibaraka wasiopenda taifa letu. Hawajali wanawapa malkana watu waaina gani bali wao wanafata upepo tuu bila kutafakari.
Pia watu wazima wenye chuki wamekua wakiponda vilivyo CCM ili chadema iingie madarakani lakini Mungu atawalinda watanzania tuu.
Ni kweli nchi ilikiua katika kipindi kigumu mno katika uongozi wa Mh Kikwete ila kuna mazuri yake aliyafanya jamani pamoja na upinzani wote stil Mh Rais aliongozana nao kwenye mambo mengi ya kitaifa ikiwemo michakato ya maendeleo, demokrasia kuwafariji walio kwenye msiba hata misiba ya wapinzani pia aliweza kuleta umoja na ndilo ninalomsifu huyu mkuu na alirudisha JKT ili watu wajifunze uzalendo.
Alikua kakomaa kisiasa pamoja na hali ya nchi haikua nzuri ila bado alipigana kuwaridhisha watanzania.
Mimi nilikua upande waupinzani ila baada ya kuona chokochoko na ubabe wa mbowe nikakimbia na kwa mtizamo wangu ni bora CCM wabaki madarakani maiaka 1000 kuliko hawa wakabila ambao watakuja kuigawa nchi kidini na kikabila na hatimaye tuanze kuuana kama nchi jirani za rwanda na burundi.
Kiongozi kama huyu (Mbowe) keshaonyesha tabia chafu kiasi hiki akikabidhiwa nchi sindo tutaangamia kabisa?
Watanzania nawaomba muwe na busara na msiwe watu wa kukurupuka hata kama mna hasira na mtambue kwamba mimi natokea kaskazini na nimeshaona kabisa huyu Mbowe ni jipu ataigawa nchi akiendelea na ukabila wake.
Kama kaanza kuwamaliza wenzake ndani ya chadema wewe unadhani atajali raia?
Leo hii wako wapi wakina slaa, zitto kabwe na mkumbo? Mimi naona hawa walitengenezewa mazingira tuu ya uongo ili waonekane wachafu kumbe sio.
Na katika uchunguzi wangu huu nimeona chanzo cha haya machafuko ndani ya chama ni kuhusu nafasi ya mwenyekiti wa chadema! ikumbukwe chacha wange na zitto kabwe waliwahi ongelea sana hili jambo na watanzania wengi waliwaelewa ila wale wajinga wakaona eti wanataka madaraka ya juu japokua kuna waliowakuta humo?
Sasa ni demokrasia gani hiyo ya ulafi? kama mwenyekiti umeshindwa kuonyesha mfano wewe ni mtu kweli?
Naomba watanzania wenye nia njema na taifa letu mtoe elimu tujue hawa watu wanaodai madaraka kabla ya kuwapigia kura. Waheshimiwa huku tupeni busara zenu hapa maana mimi kama kijana niliefumbuliwa macho ni sharti langu kuwafumbua na wengine waliopotea.
Wale watakao tukana hapa na kukejeli hatutajali sisi nia yetu ni kupeana elimu juu ya mfumo mzima wa kisiasa ili tuwe aware na political issues na watu wenyewe wanaohusika.
Leo hii yule fisadi mkubwa waliekuwa wanamsema sasa hivi ni malaika eti??
Ila tuaweza kuona wabunge wengi wa chadema wanakubali tuu sababu ya ubabe wa mbowe wanajua akipinga kitakachowakuta ni umauti.
Pitieni hii video hapa ili mjifunze kitu kuhusu huyu mlafi wa madaraka toka 1995 hadi leo anapigana tuu muone alivyo na uchu. Mungu amlaze mahala pema peponi Baba wa taifa hili hayati J K Nyerere kwa busara zake na maono yake ya mbali.
Leo hii toka 1995 alichobashiri ndicho kinachowakumba watanzania ila Kwa neema zake Mwenyezi-Mungu watanzania walio wengi walikuelewa na hawajampigia kura huyu mtu na Mzee huko mbinguni tambua alisha hama CCM saivi yupo chadema na alishindwa uchaguzi na ufisadi aliuendeleza hadi alipojiuzulu uwaziri mkuu 2007.
Leo hii mshirika wako wa karibu (Slaa) umemtema wewe ni mtu kweli?
Naomba moderators wasittoe huu uzi jamani wala ku merge kwenye mada nyingine hata kama hili jambo lishazungumzwa sio ubaya kulitafakari tena.
Natanguliza shukrani kwenu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI WANANCHI WAKE DAIMA TUPENDANE NA TUDUMISHE UMOJA WETU NA WALE WENYE NIA MBAYA NA TAIFA LETU WASHINDWE WALEGEE KWA JINA LAKO.
NAWASILISHA.