shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,170
Kwa hiyo justification yenu ya kuiba kura ni ukabila sio, yaani mpaka hela za tetemeko mnapiga hamjari wa jane wala yatima. Halafu unapata wapi nguvu ya kumtaja yesu.Vipi huyu shetani wenu anaeleta ukabila? tumuache aje aigawe nchi na kusababisha ukabila???
Wote washenzi tuu pamoja na Jipumba kwa kueneza udini utao kuja kugawa taifa letu.
Umeshindwa kuwa kiongozi mzuri wa familia yako, chama chako je taifa utaweza??
Shindwa na mlegee kwa jina la Yesu.