GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
Huku Taifa Likiwa Limegawanyika Nikimaanishwa Wengine Tunacheka Na Kufurahi ( I Inclusive ) Na Wengine Wakiwa Wamenuna, Wanalia Na Wamelala Na Vidonge Pembezoni Mwa Vitanda Vyao Wakisubiri Jinsi Gani Watatubu Kwa Mwenyezi Mungu Dhambi Kubwa Walizozifanya Ndani Ya Miezi 2 Hii Ya Hekaheka Za Utiaji Nia Na Ugombeaji Urais Ndani Ya Chama Tawala Cha CCM.
Je UKWELI Ni UPI?
Sitataja Jina Ila Itabidi Wewe Mwenyewe Ujiongeze Kama Wasemavyo Wasukuma. Ukweli Ni Kwamba Kuna Mtangaza Nia Mmoja Anataka Kuwahadaa Watanzania Kuwa Anachukiwa Na Amedhulumiwa ILI Apate Tu Public Sympathy ILA UKWELI Ni KWAMBA Huyo MTIA Nia Japo Alificha Na Hakutaka Watanzania wajue Lakini Kupitia Vijana Wa Tanzania Ambao WAMEPIKWA Na WAKAPIKIKA Katika Masuala Mazima Ya UJASUSI Na UDUKUZI Duniani Walio Na Ofisi Yao Makao Makuu Oysterbay Mkabala Na Multi Choice Tanzania Wawili Walitumwa Kwenda Katika Hiyo Hospitali Ambayo Yeye Huwa Anaenda Katika Nchi Ambayo IMEWAHI Kuwa MTAWALA Wetu Na Walipofika Huko Wakajifanya Na Wao Wanaumwa Na Wakapiga Kambi Hapo Kwa Takribani Miezi 3 Na Wakarudi Na Kila Kitu Cha Kuhusu AFYA TIMILIFU Ya Huyo MTIA Nia.
Ukweli Ni Kwamba Ripoti Ya Kitabibu Na Kauli Za Madaktari Waliokuwa Wanamuhudumia Huko Inasema Kwamba Huyo MTIA NIA ANA UGONJWA AMBAO UTAMFANYA AISHI MIAKA 3 KWANI TATIZO LAKE HALINA JINSI NA HAWAKUISHIA HAPO BALI ALISHAURIWA PIA KUWA ASIJIHUSISHE NA MASUALA YOYOTE YA HARAKATI ZA KISIASA KWA KUZINGATIA AFYA YAKE AMBAYO KATIKA MACHO YETU SISI WATANZANIA INAONEKANA NI NZURI ILA KATIKA MACHO YA MADAKTARI WANAONA MAREHEMU MTARAJIWA WA MUDA NA WAKATI WOWOTE.
Hivyo Basi Hata Hao CCM Wanazuga Tu Lakini UKWELI Ni Kwamba AMESULUBIWA KIPILATO Kwa Suala Lake Hili Tu La KIAFYA Na Huko Kwingine Sijui Rushwa Na Kadhalika Ni Mbwembwe Tu Na Kuna MGOMBEA Mwingine Pia AMBAYE AMEINGIA 5 Bora Lakini Na Yeye Pia ATALIMWA KIPILATO Kwani Na YEYE Kiafya Hayuko Vizuri JAPO ANAWEZA Kuishi Kwa MATUMAINI Lakini Watu Wanaogopa ASIJE SIKU AKASAHAU KUNYWA Vile VIDONGE Vyetu Na AKATUFIA GHAFLA Yakawa Ya Akina Michael Satta.
Breaking News Yangu Ndiyo Hiyo Kama Nilivyowaahidini Jana Usiku Wa Saa 8 Kuwa Nikiamka Salama Leo Asubuhi NITAWAPAKULIENI Ila Tu Sitaki MNIULIZE Ni Akina Nani Hao Isipokuwa Nyie Kwa Maelezo Yangu Tu Hayo JIONGEZENI Na Tumieni Formula Ya MAGAZIJUTO Mtawajua.
Asubuhi Njema Nyote.
Je UKWELI Ni UPI?
Sitataja Jina Ila Itabidi Wewe Mwenyewe Ujiongeze Kama Wasemavyo Wasukuma. Ukweli Ni Kwamba Kuna Mtangaza Nia Mmoja Anataka Kuwahadaa Watanzania Kuwa Anachukiwa Na Amedhulumiwa ILI Apate Tu Public Sympathy ILA UKWELI Ni KWAMBA Huyo MTIA Nia Japo Alificha Na Hakutaka Watanzania wajue Lakini Kupitia Vijana Wa Tanzania Ambao WAMEPIKWA Na WAKAPIKIKA Katika Masuala Mazima Ya UJASUSI Na UDUKUZI Duniani Walio Na Ofisi Yao Makao Makuu Oysterbay Mkabala Na Multi Choice Tanzania Wawili Walitumwa Kwenda Katika Hiyo Hospitali Ambayo Yeye Huwa Anaenda Katika Nchi Ambayo IMEWAHI Kuwa MTAWALA Wetu Na Walipofika Huko Wakajifanya Na Wao Wanaumwa Na Wakapiga Kambi Hapo Kwa Takribani Miezi 3 Na Wakarudi Na Kila Kitu Cha Kuhusu AFYA TIMILIFU Ya Huyo MTIA Nia.
Ukweli Ni Kwamba Ripoti Ya Kitabibu Na Kauli Za Madaktari Waliokuwa Wanamuhudumia Huko Inasema Kwamba Huyo MTIA NIA ANA UGONJWA AMBAO UTAMFANYA AISHI MIAKA 3 KWANI TATIZO LAKE HALINA JINSI NA HAWAKUISHIA HAPO BALI ALISHAURIWA PIA KUWA ASIJIHUSISHE NA MASUALA YOYOTE YA HARAKATI ZA KISIASA KWA KUZINGATIA AFYA YAKE AMBAYO KATIKA MACHO YETU SISI WATANZANIA INAONEKANA NI NZURI ILA KATIKA MACHO YA MADAKTARI WANAONA MAREHEMU MTARAJIWA WA MUDA NA WAKATI WOWOTE.
Hivyo Basi Hata Hao CCM Wanazuga Tu Lakini UKWELI Ni Kwamba AMESULUBIWA KIPILATO Kwa Suala Lake Hili Tu La KIAFYA Na Huko Kwingine Sijui Rushwa Na Kadhalika Ni Mbwembwe Tu Na Kuna MGOMBEA Mwingine Pia AMBAYE AMEINGIA 5 Bora Lakini Na Yeye Pia ATALIMWA KIPILATO Kwani Na YEYE Kiafya Hayuko Vizuri JAPO ANAWEZA Kuishi Kwa MATUMAINI Lakini Watu Wanaogopa ASIJE SIKU AKASAHAU KUNYWA Vile VIDONGE Vyetu Na AKATUFIA GHAFLA Yakawa Ya Akina Michael Satta.
Breaking News Yangu Ndiyo Hiyo Kama Nilivyowaahidini Jana Usiku Wa Saa 8 Kuwa Nikiamka Salama Leo Asubuhi NITAWAPAKULIENI Ila Tu Sitaki MNIULIZE Ni Akina Nani Hao Isipokuwa Nyie Kwa Maelezo Yangu Tu Hayo JIONGEZENI Na Tumieni Formula Ya MAGAZIJUTO Mtawajua.
Asubuhi Njema Nyote.