Kwani yeye ni Mkuu wa Mkoa anayetuhumiwa kufoji vyeti vyake!? Acheni kudumaza akili zenu kiasi hiki! Kuna tuhuma anatumia vyeti ambavyo si vyake kuondoa tuhuma dawa yake ni kuweka vyeti hadharani na siyo longo longo. Kule Singida wafanyakazi 22 wamefukuzwa kazi kwa kufoji vyeti. Yeye huyu ni nani mpaka naye asifukuzwe kazi kwa kosa la jinai!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.