Huu ndio Ukweli, Asante Rais Rais Magufuli!

Huu ndio Ukweli, Asante Rais Rais Magufuli!

Kazi ya kuosha mkaa ili uwe mweupe sii lelemama. Saa ingine kukaa kimya ni bora kuliko kuhangaika.
 
Ni kweli ifke wakat watanzania wajfunze kuwa wakwel na kuacha unafk
 
Kwa hiyo siku ile anakomaa kule bandarini eti vyeti vyeti alikuwa anamaanisha nini?.Alafu hii clip mbona kama ya kitambo?
 
Ni kweli lakini kwanini Mh Makonda asionyeshe vyeti vyake?
 
Mwanzo wa hiyo hotuba yake ningeona anamaanisha anachoongea endapo mabilioni aliyonunua ndege angeyapeleka huko kwenye umeme! Kinyume chake, anaiponda IPTL lakini yupo madarakani kwa takribani miezi 15 hivi sasa na bado serikali yake inaendelea kuilipa IPTL!!!
 
Masogange umekuja kumtetea mchepuko vp kodi imekaribia kukata nini zama za mapopoma ziliisha ujue un a deal na aina gani ya watz we jikaze sindano ikuingie acha taarabu weka vyeti
 
Back
Top Bottom