Huu ndio Ukweli, Asante Rais Rais Magufuli!

Huu ndio Ukweli, Asante Rais Rais Magufuli!

Mdogo wangu Presidency is not an easy thing.....Mwambie huyo swahiba wako kama analijua hilo amsaidie Rais sasa kabla hajaharibikiwa.
Rais si maneno yake ya faraja na maridhiano.... ni KATIBA ALOIAPA KUILINDA NA NI HIYO HIYO ITATUMIKA JUU ya huyu mnayemtafutia fasiri kila kauli za Rais.
 
Vya nini, ili iweje na itakusaidia nini? fanya kazi acha kurukaruka.
Huoni ukakasi unaoendelea kumpata mkuu wa mkoa wa DSM? Mtu kama unavyo vyeti halali siunaonyesha ili kumaliza mzizi wa fitna. Mungu anasema kweli itamweka mtu kuwa huru kweli kweli. Kazi ndugu nafanya sana tu tena ya haki isiyo na mawaa wala dhuluma.
 
Wacha mulomo weka vyeti mezani weye!
 
Huoni ukakasi unaoendelea kumpata mkuu wa mkoa wa DSM? Mtu kama unavyo vyeti halali siunaonyesha ili kumaliza mzizi wa fitna. Mungu anasema kweli itamweka mtu kuwa huru kweli kweli. Kazi ndugu nafanya sana tu tena ya haki isiyo na mawaa wala dhuluma.

Mnachimba mashimo matokeo yake mnadumbukia wenyewe! weka vya kwako hapa tuvione ili hiyo kweli yako ikuweke huru.
 
Mnachimba mashimo matokeo yake mnadumbukia wenyewe! weka vya kwako hapa tuvione ili hiyo kweli yako ikuweke huru.
Sasa anayechimba shimo na kutumbukia ni nani kati yangu na wewe? Kwani kuna skendo inayonitaka mimi kuweka vyeti au jamii yenye wasiwasi na vyeti vyangu?
 
Tanzania ikipata viongoz km hawa 3 tu tutakuwa masikini sana. Tutakuwa tunaishi maisha ya 1880
Huyo mnayemsifia kafanya nn kumkomboa mtanzania mwenye kipato cha chini kiuchumi?
SIKU HIZI WAPIGA DEBE NI WENGI SANA WANAOHITAJI VYEO. DAMU YA WATANZANIA INAWALILIA NA IPO SIKU MTAILIPA KWA GHARAMA YYTE ILE.
Hiyo double standard itawatokea puani tu
 
Huyu jamaa a nafikiri anamkomoa nani??? Vilaza tu wamejaa kwenye serikali yake.
 
Back
Top Bottom