HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Wewe ukae tu utegemee kiongozi apambanie tumbo lako unalofuga kama kirobaYaani Viongozi wa Tanzania huangalia matumbo yao tu,wakati kuna watu wanakufa kwa kukosa dawa halafu mtu amezuia nyumba na anajiita mkazi wa Arusha
Chawa wajinga watakuja kulitetea na hili
Lack of focus and clear strategies.Wapumbavu sana cdm siku zote heri kupigania mgombea BINAFSI siyo mgombea kupitia vyama vya mafisi,shit!!
Hata asiponufaika wewe endelea kulipa Kodi bila shurutiChawa wajinga sana,unatetea vitu kama hivi utafikiri anayenufaika ni baba yako!
Mwambie aondoke kwenye nyumba yetu!! Ukwasi wa wizi ni wake yeye. Tangu lini mtumishi wa umma akawa na ukwasi kama sio jambazi???Porojo tu hizi.
Makonda mwenye ukwasi wa kufikia Gran Melia ang'ang'anie kwenye hayo magofu ya serikali??
Kuna mkuu wa mkoa mmoja kule Mwanza aliwahi kukataa kukaa kwenye makazi ya mkuu wa mkoa anakawa anaishi hotelini kisha nyumba imechakaa zaidi ya miaka miwili inakarabatiwa katika ya mwisho ya Mrisho, halafu alipoingia JPM katonywa duh ilikuwa balaa. Baadae yule mteule alihamishiwa Arusha ambako na kwenye kilichotokea Arachuga wanaweza kusimulia. Aliwafanyizia wapinzani Gambo ni cha mtoto.Sina hakika kama Mh Rais hayati Magufuli angeruhusu uhuni huu kufanyika!! Walahi asingeruhusu hii kitu!
Mlisema Makonda anaishi Grand melia hotel, imekuwaje tena?‼️KIHONGOSI MBONA ANAISHI HOTELINI - KAKABIDHIWA NINI🙄⁉️
Taarifa ya uhakika ni kuwa Kihongosi hadi muda huu anakaa Kibo Palace hotel ambapo kwa siku unalipia dola 200 (takriban sh laki 5 na ushee) kwa ajili ya malazi!
Kisa!? Naambiwa Makonda bado yupo anakaa kwenye nyumba ya Mkuu wa Mkoa!
Tuache masihara!
Ofisi alikabidhiwa tarehe 30 June, leo ni tarehe 24 Julai
Siku 24 ukichukulia malazi tu ni laki 5 tunaangalia jumla ya gharama ya shilingi milioni 12 - nani analipa hii? Serikali?
Makonda atoke arudi zake nyumbani au ahamie hotelini ajilipie - tuache ufisadi wa kijinga
Nchi inaenda tu ka haina mwenyewe - inatafunwa kihuni na wahuni 🚮 ndo maana MABADILIKO NI LAZIMA
#NoReformsNoElection
Unamwogopa!? Mwambie wazi akupishe kwenye nyumba ya Serikali kama hela ya kulipia hoteli zimeisha, au ulidhani huu ni mchezo?‼️KIHONGOSI MBONA ANAISHI HOTELINI - KAKABIDHIWA NINI🙄⁉️
Taarifa ya uhakika ni kuwa Kihongosi hadi muda huu anakaa Kibo Palace hotel ambapo kwa siku unalipia dola 200 (takriban sh laki 5 na ushee) kwa ajili ya malazi!
Kisa!? Naambiwa Makonda bado yupo anakaa kwenye nyumba ya Mkuu wa Mkoa!
Tuache masihara!
Ofisi alikabidhiwa tarehe 30 June, leo ni tarehe 24 Julai
Siku 24 ukichukulia malazi tu ni laki 5 tunaangalia jumla ya gharama ya shilingi milioni 12 - nani analipa hii? Serikali?
Makonda atoke arudi zake nyumbani au ahamie hotelini ajilipie - tuache ufisadi wa kijinga
Nchi inaenda tu ka haina mwenyewe - inatafunwa kihuni na wahuni 🚮 ndo maana MABADILIKO NI LAZIMA
#NoReformsNoElection
Sema simple and logical question na siyo" logic question". Kiingereza ni ugonjwa sugu kwa Watanzania!Soma comment hadi mwisho babuu.
Makonda amesha achia ukuu wa Mkoa aachie nyumba ya serikali. Yeye si ana sema ni mkazi wa Arusha na ana utaka ubunge wa jimbo la la Arusha?? Aende kwake..
Acheni uchawa!! Mkiitwa wahuni mna pinga. Makonda ana ishi nyumba ya serikali kama nani kwa sasa?? Simple and logic question ⁉️ I
Kamchukue ukae naye kwenye getto lako‼️KIHONGOSI MBONA ANAISHI HOTELINI - KAKABIDHIWA NINI🙄⁉️
Taarifa ya uhakika ni kuwa Kihongosi hadi muda huu anakaa Kibo Palace hotel ambapo kwa siku unalipia dola 200 (takriban sh laki 5 na ushee) kwa ajili ya malazi!
Kisa!? Naambiwa Makonda bado yupo anakaa kwenye nyumba ya Mkuu wa Mkoa!
Tuache masihara!
Ofisi alikabidhiwa tarehe 30 June, leo ni tarehe 24 Julai
Siku 24 ukichukulia malazi tu ni laki 5 tunaangalia jumla ya gharama ya shilingi milioni 12 - nani analipa hii? Serikali?
Makonda atoke arudi zake nyumbani au ahamie hotelini ajilipie - tuache ufisadi wa kijinga
Nchi inaenda tu ka haina mwenyewe - inatafunwa kihuni na wahuni 🚮 ndo maana MABADILIKO NI LAZIMA
#NoReformsNoElection
Ah weh nani kasema??! mitano tena kwa mmammaa!
WanazinguaMlisema Makonda anaishi hotelini. Mbona hamweleweki!!?
WEZI !!!!!!!‼️KIHONGOSI MBONA ANAISHI HOTELINI - KAKABIDHIWA NINI🙄⁉️
Taarifa ya uhakika ni kuwa Kihongosi hadi muda huu anakaa Kibo Palace hotel ambapo kwa siku unalipia dola 200 (takriban sh laki 5 na ushee) kwa ajili ya malazi!
Kisa!? Naambiwa Makonda bado yupo anakaa kwenye nyumba ya Mkuu wa Mkoa!
Tuache masihara!
Ofisi alikabidhiwa tarehe 30 June, leo ni tarehe 24 Julai
Siku 24 ukichukulia malazi tu ni laki 5 tunaangalia jumla ya gharama ya shilingi milioni 12 - nani analipa hii? Serikali?
Makonda atoke arudi zake nyumbani au ahamie hotelini ajilipie - tuache ufisadi wa kijinga
Nchi inaenda tu ka haina mwenyewe - inatafunwa kihuni na wahuni 🚮 ndo maana MABADILIKO NI LAZIMA
#NoReformsNoElection
Wewe ni mshenzi usiyeelewa, Mwezi mzima kiongozi anakaa hotel ya nyota 5 hadi leo pesa nyingi zinatumika ambazo hadi leo.Ulitaka ajae wapi?
Watu wakisema ukweli... ndiyo kumchafua makonda?Acha unafiki na uongo wako wewe. Naona Mheshimiwa Makonda anawapa homa kali . Acheni kumchafua Mheshimiwa maana hamtaweza kufanikiwa.
Hawa chawa hawana huruma na hii nchi kabisa. Yaani mtu sio mtumishi wa umma, pia ana jigamba yeye ni mwenyeji wa Arusha, halafu ana kaa nyumba ya Mteule wa Rais, sisi wananchi tuna mlipia RC hoteli. Bado wahuni hawaoni kama hili ni tatizo.. UhuniiiWatu wakisema ukweli... ndiyo kumchafua makonda?
Huu upupu wako umeutoa wapi we bwege? Uzushi ni profession yenu nyumbu. Oktoba tunatiki we zombie‼️KIHONGOSI MBONA ANAISHI HOTELINI - KAKABIDHIWA NINI🙄⁉️
Taarifa ya uhakika ni kuwa Kihongosi hadi muda huu anakaa Kibo Palace hotel ambapo kwa siku unalipia dola 200 (takriban sh laki 5 na ushee) kwa ajili ya malazi!
Kisa!? Naambiwa Makonda bado yupo anakaa kwenye nyumba ya Mkuu wa Mkoa!
Tuache masihara!
Ofisi alikabidhiwa tarehe 30 June, leo ni tarehe 24 Julai
Siku 24 ukichukulia malazi tu ni laki 5 tunaangalia jumla ya gharama ya shilingi milioni 12 - nani analipa hii? Serikali?
Makonda atoke arudi zake nyumbani au ahamie hotelini ajilipie - tuache ufisadi wa kijinga
Nchi inaenda tu ka haina mwenyewe - inatafunwa kihuni na wahuni 🚮 ndo maana MABADILIKO NI LAZIMA
#NoReformsNoElection