Hii ni laana hata Mungu atatuadhibu...mwanchi chukua hatua 2020Kuwekeza Tanzania ni sawa na kuchezea shilingi kwenye tundu la choo.
Alafu mbona Magufuli hii issue anaonekana kutoipa uzito?
Hii ni awamu ya uhakiki na wala si awamu ya viwanda.
Hii ni laana hata Mungu atatuadhibu...mwanchi chukua hatua 2020Kuwekeza Tanzania ni sawa na kuchezea shilingi kwenye tundu la choo.
Alafu mbona Magufuli hii issue anaonekana kutoipa uzito?
Hii ni awamu ya uhakiki na wala si awamu ya viwanda.
Siku zote ni lazima kuheshimu makubaliano na mikataba. Mengine yote ni ubabaishaji. Kitazamwe kilichokubaliwa wakati wa uanzishaji wa mradi.Hii story ina shida aisee.
Makaa ya mawe yapo ya kutosha na kila siku yanatoka unaposema wanapata tani 15 huu ni upotoshaji kwa sababu gari zinazobeba makaa zinapakia tani 32 per trip.
Na gari zinazotoka katai kwa siku moja ni zaidi ya 100 kwa makadilio ya chini.
Na sio kwamba anataka tani 2000 kwa matumizi ya siku moja.
Ni kampuni gani ilipewa tenda ya kusafirisha makaa ya mawe tika katai mpaka mtwara??.
Panye ukweli usemwe ukweli ila sio huu upotoshaji.
Na tani moja ya makaa ya mawe ni shiling 86,000 bei ya katai ukisafirisha kwa tani moja bei ya jumla haifiki 120,000 wakati ya kutoka S.A ni dola 100+ na ukiweka kwenye shilingi ni 200,000+.
Na kwa sasa njia ya kutoka katai mpaka mtwara ipo katika hari nzuri.
Maoni yangu.
Ni vyema serikali ikakaa na mwekezaji waende sawa lakini iwe win win situation na sio kumpa feva zisizo na tija mwekezaji.
Makaa ya mawe na gesi anunue kwa bei shindani kama wenzake na sio yeye ndo aoewe kipaumbele wakati soko la cement ni la ushindani.
Mjinga gani atakayekuja? Watu wanajifunza. Ungekuwa wewe ungekuja?Wacha Dangote aende watakuja wengine....acheni serikali mnayoiamini ipige kazi.
Akina Lizaboni na unafiki wao hutawaona hapa. Hili suala ni la kitaifa. Halafu kuna watu wamekifanya chama kama ndo taifa. Hivi huwa wakiwa peke yao na nafsi zao huwa wanapata hisia zipi? Utakuta ndugu zao na majirani hali mbaya, dhoofu kabisa halafu wanapiga tararira hapa.Halafu kuna watu bado wanampigia makofi huyu Janga la Taifa kila kukicha. Bilionea mkubwa duniani kama huyu anakuja kuwekeza nchini halafu anakuwa frustrated na wanasiasa uchwara kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu. Afungashe tu aondoke zake. Serikali hii iko busy kuikanyaga katiba ya nchi na hawana kipaumbele kingine chochote kile.
Dangote fisadi?Hamna kitu,mafisadi tu hayo,watanzania jioneeni huruma nyie
Lazima tukiri serikali yetu imekosa kabisa intrepreneurial leadership. JPM amejaza serikali yake PhD holders kama vile anataka kufungua university Ikulu. Hajui kuwa PhD holders wengi are the worst managers and worst business people. Tafuta takwimu katika top 100 best performing international business companies, mangapi CEOs wao ni PhD holders.Mkuu jaribu kurudia kusoma article nzima, huyu jamaa analeta habari za kutunga mno - kama amepewa taarifa hizi kutoka a third party basi wahusika wana lengo la kutaka kuidhalilisha Serikali ya JPJM kwa kutumia adithi za kutunga tu.
Kiongozi gani mwenye akili timamu anaweza kumkorofisha muwekezaji mkubwa na wa maana kama Dangote?? Kwanza Dk.Magufuli akipata taarifa kwamba kuna baadhi ya viongozi ndani ya Serikali yake wanataka kumuhujumu Dangote atawafukuza kazi on the spot.
Tuache kuleta adithi za kutunga, utasikia mara Dangote kakosa mkaa wa kutosha kutoka Tanzania, mara Dangote kakataliwa kuuziwa gesi kwa bei nafuu wakati gesi inapatikana huko huko Mtwara ambako hakuna gharama za usafirishaji, mara Dangote kanyimwa umeme - yaani tumejaa roho za kutu kama wachawi, kazi kuitakia mabaya Serikali ya JPJM - hakuna habari njema/nzuri wanazo zileta humu zaidi ya kulahumu chama tawala na Uongozi wake, nani kawambieni vyama vya upinzani vingeshinda uchaguzi saa hizi Tanzania ingekuwa ni Taifa lililo jaa maziwa na asali - nani??
Mbona yale ma Richmond,escrow,Epa,sijui kikoda hawayakatii viuno? yaani FISIEM kuna majitu majinga? haya yanatakiwa kung'olewa kucha kutobolewa macho shenzi sana.Serikali inapaswa kujua kuwa hapa inadeal na dangote ambaye ni mnijeria na wala sio mchina, na afrika nzima hakuna mjanja kwenye pesa kama mnijeria hapigwi kizembe!
Na kila siku wanakutana wanapigiana simu,Shida yetu kujifanya wajuaji wa kila jambo kuendesha mambo kwa majungu, hila, jeuri na visasi....kama tunalalamikia waliokubaliana na Dangote group of companies..mbona wanatoka ktk serikali ya chama hicho hicho? Mbona msiwaulize kwa ufafanuzi hata kama mnahisi.kuwa wana maslahi..sasa ndiyo mumkomoe mwekezaji.!!...jamanieee...majungu hayajengi..ebo!!!
Kwani hata tukiyaacha si wachina watayachukua tu au Mzindakaya na wanawe watajimilikisha hayo makaa ya mawe ya ligangaKwani tungekubali kiasi anachohitaji dangote ni tani 10,000 sisi tumuuzie tani 15 tunazozalisha, zilizobaki akachukue south afrika wakati sisi tunaboresha uzalishaji wetu kungekuwa na shida gani wataalamu wa uchumi na mahesabu?
Anajua hata abonyeze wapi ili aisikilize hiyo clip,mwenzio anachojali ni kutoa povu tuu ilimradi ikifika jioni akachukue elfu 7 yake kule makao makuu yao.....Sikiliza clip, utaondoa hayo maswali mkuu.
Watu wa sampuli ya huyu jama ni kikwazo cha maendeleo ndani ya familia zao na taifa kwa ujumla.Anajua hata abonyeze wapi ili aisikilize hiyo clip,mwenzio anachojali ni kutoa povu tuu ilimradi ikifika jioni akachukue elfu 7 yake kule makao makuu yao.....
And that makes you happy?That, you are so such a booby.