Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,831
Huyu MTU kaonyesha humbleness ya hali ya juu, its really hard to say I'm sorry.Ni jambo zuri, ila moja ya kizuizi cha mawasiliano hata kufanya ujumbe ushindwe kumfikia mlengwa ni Channel ulotumia.
Hapa tukubali wote kwa pamoja kua ,Huyu Muhuni anaowaandikia alikutana nao FB tena kwenye jukwaa ilo ...nadhan ndo italeta maana halisi.
Lkn km nia yake ilikua Msamaha tu. baasi kupiga magoti na kuongea na Mungu wake ,ilikua pia ni njia Bora zaidi
Kwako mtoa mada !
'A bad peace is better than a good quarrel '
mimi binafsi nilimheshimu Clinton alipoomba radhi hadharani akiiomba dunia, mke, nchi yake na Mungu msamaha kwa ajili ya kuchiti na MonicaWavulana hawana hekima ya kukiri makosa, kuomba radhi na kujishusha
Nazjaz mi naamin Dunia ya wanaume unaijua vzuri sana .Huyu MTU kaonyesha humbleness ya hali ya juu, its really hard to say I'm sorry.
Nazjaz mi naamin Dunia ya wanaume unaijua vzuri sana .
Na kwa binadam aliyekua vzuri atambuaye kosa ni lazima tu ajute na kuomba msamaha maana ndio njia sahihi ya kuondoa mzigo mkubwa moyoni mwake.
Je upekee hapo ni Kuomba msamaha kwa post mbele ya hadhira? Au tu kuomba msamaha??.
Maana nikm mtu atoae uzi JF kua " Natafuta mke/mume sio kwamba mtaan hawapo, wapo sana tuu ila nmeona tu nitafute humu JF".
Kwako Najzaj
'A bad peace is better than a good quarrel '
Binafsi nikimkosea mtu huwa nakosa Amani kabisa sijui kwa wengine na ni mwepesi kuomba samahani. Sitaki kuwa na vitu vingi kwenye akili yangu.Yes, patana na Kila MTU utakuwa na amani
Aahh sawa kikubwa hapa ni watu waombe misamaha wanapokosea !!Huyu mwanaume ni jasiri na amefanya kitu adimu.
MTU unakaa naye ndani anakosea, kusema tu baby I'm sorry anashindwa, ndio sembuse hiyo ya kukiri hadharani? Kwa mtazamo wangu jamaa has swallowed his pride
Naomba uniombe msamaha leo mbele ya HadhiraBinafsi nikimkosea mtu huwa nakosa Amani kabisa sijui kwa wengine na ni mwepesi kuomba samahani. Sitaki kuwa na vitu vingi kwenye akili yangu.
Nisamehe nimekukosea na ahidi sitaludia mpendwa je umenisamehe?Naomba uniombe msamaha leo mbele ya Hadhira
'A bad peace is better than a good quarrel '
Nmekusamehe mpendwa Hawachi .Nisamehe nimekukosea na ahidi sitaludia mpendwa je umenisamehe?
Sipendi kuishi na mtu mgumu kuomba samahani hata kama amekoseaHuyu mwanaume ni jasiri na amefanya kitu adimu.
MTU unakaa naye ndani anakosea, kusema tu baby I'm sorry anashindwa, ndio sembuse hiyo ya kukiri hadharani? Kwa mtazamo wangu jamaa has swallowed his pride
Ubarikiwe, shukrani mno.Nmekusamehe mpendwa Hawachi .
'A bad peace is better than a good quarrel '