Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,667
- 698,586
Ukweli ni upiAcha urongo
Ukweli ni upiAcha urongo
ofisi kali sana hii. Magamba waende wakasome.Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kinatarajia kuanza ujenzi wa ofisi yake ya kisasa ya Chama kwa Mkoa wa Iringa .
Huu ndio Muonekano wa ofisi hiyo utakavyokuwa
Toa maoni yako
View attachment 2442666View attachment 2442667View attachment 2442668
🤣🤣🤣🤣Mnawaza kulipwa tu , Masikini Wakubwa nyie !!