Huu ndio muda maalum wa kutoa risiti za EFD!

Huu ndio muda maalum wa kutoa risiti za EFD!

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,316
Reaction score
25,104
Wanajamvi, hivi wafanyabiashara wana muda maalum wa kutoa risiti za efd?
Wenye biashara na wazoefu, pia hata mamlaka husika inaweza kutusaidia kwenye hili!
Jambo lililonifanya nihoji hili ni kwamba nimekwenda dukani karikoo, mida ya saa 12:40 hivi jioni na kutaka kununua bidhaa flani!
Baada ya kuikagua hiyo bidhaa na kuridhika nayo nilianza mchakato wa kuilipia lakini nikamuhoji muuzaji pia kama anaweza kunipa risiti ya efd!
Ghafla yule muuzaji akanijibu kwa hasira kuwa ameshafunga mahesabu na kamwe hawezi kutoa mashine kwa ajili ya mtu mmoja tu na kwamba bidhaa niliyotaka kununua basi nisiinunue tena niiache!
Sasa je ni kwamba kweli kuna muda maalum wa kutoa hizo risiti?
Hii ishu imekaaje...
 
Atakua hana huyo alitumia defence mechanism kukwambia uache bidhaa
 
Ww unahitaji bidhaa au unahitaji receipt?
Fata kilichokupeleka hujui unavyong'ang'ania hivyo unazidi kukaza vyuma vya watu.?
 
Ww unahitaji bidhaa au unahitaji receipt?
Fata kilichokupeleka hujui unavyong'ang'ania hivyo unazidi kukaza vyuma vya watu.?
Vyote hivyo ni muhimu...
Acha kuwa na mawazo mfu!!
 
Wanajamvi, hivi wafanyabiashara wana muda maalum wa kutoa risiti za efd?
Wenye biashara na wazoefu, pia hata mamlaka husika inaweza kutusaidia kwenye hili!
Jambo lililonifanya nihoji hili ni kwamba nimekwenda dukani karikoo, mida ya saa 12:40 hivi jioni na kutaka kununua bidhaa flani!
Baada ya kuikagua hiyo bidhaa na kuridhika nayo nilianza mchakato wa kuilipia lakini nikamuhoji muuzaji pia kama anaweza kunipa risiti ya efd!
Ghafla yule muuzaji akanijibu kwa hasira kuwa ameshafunga mahesabu na kamwe hawezi kutoa mashine kwa ajili ya mtu mmoja tu na kwamba bidhaa niliyotaka kununua basi nisiinunue tena niiache!
Sasa je ni kwamba kweli kuna muda maalum wa kutoa hizo risiti?
Hii ishu imekaaje...
Kuwa mzalendo na uwariport watu kama hao. ndio wanao rudisha maendeleo ya nchi nyuma na kama sikosei huyo atakuwa ni muhindi.
 
Ni kweli akishatoa daily report hatakiwi ku punch tena kwa siku hiyo paka kesho yake. Yupo sahihi tu mdau. Ila sio kesi si ulienda ukanunua kwingine?
 
Ni kweli akishatoa daily report hatakiwi ku punch tena kwa siku hiyo paka kesho yake. Yupo sahihi tu mdau. Ila sio kesi si ulienda ukanunua kwingine?
Hakutakiwa auze basi. Anatakiwa atume hio ripoti akiwa anafunga.
 
Kuwa mzalendo na uwariport watu kama hao. ndio wanao rudisha maendeleo ya nchi nyuma na kama sikosei huyo atakuwa ni muhindi.
Ni hao hao...
Anasema hapii hakuni fudiii...
Wanaongea kama matahira...
 
Ni kweli akishatoa daily report hatakiwi ku punch tena kwa siku hiyo paka kesho yake. Yupo sahihi tu mdau. Ila sio kesi si ulienda ukanunua kwingine?
Basi angenielekeza taratibu au angeniambia ameshafunga muda wa kuuza umeisha...
Na siyo kufura na kunikasirikia kwa frastuesheni zake...
 
Back
Top Bottom