Mkuu kwanza za siku tele upo?
Ukawa wanajichezea wenyewe na uroho wao wa madaraka na kutaka wapate vya haraka hata kama hawastaili.
Habari kutoka jikoni zinasemakuwa mchezo umesukwa kiustadi kuhusu BVR kwa lengo la kuwapumbaza UKAWA.Inaelezwa lengo la usajili wa mfumo wa BVR si kuwa utumike kwenye uchaguzi ujaobali ni ucheleweshaji wa makusudi kwa lengo la kurudi kwenye daftari la zamani,inaelezwa itakapo fika karibu na uchaguzi tume itaseme muda hatoshi hivyo nibora kuboresha tu daftari la zamani. Mtonyaji anasema hapo ndipo UKAWA watakapopigwabao la kisigino.
bila tume huru kupatikana ukawa wasahau kuingia ikulu
haha ha ha; jamani usinichekeshe ivo!hizi ndo zinaitwa ramli chonganishi
Wengi wanadhani watu wote waliopo tume ya uchaguzi wanafurahia mambo yanayofanywa na serikali ya CCM. Sasa hivi ndani ya serikali na hata ndani ya CCM yenyewe hakuna siri. Watakalolifanya lolote lita-leak tu.UKAWA ni wananchi nasidhani kama ukawa wanaweza kukubali mchezo wa kijinga namna hiyo