Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
Wanawake wengi wanaweza kuwa na msimamo wa kumkataa mtu ama msimamo wa kutunza penzi la mpezi wake ama msimamo wa kutunza ndoa yake na kutofanya udanganyifu wowote.
Lakini wengi wanapopata matatizo hasa ya kifedha hugeuka na kuwa walaini na kuifutilia mbali misimamo yote waliyoiamini na kuishikilia huu ni udhaifu mkubwa.
Kwani wanawake hawawezi kuvumilia shida mpaka kuvunja misimamo yao ili wapate unafuu wa fedha kwa mtu ambaye waliapa kutojaribu hata kuwa naye ama kwa kuamua kusaliti penzi ama ndoa? Wanawake hawastahili kupata shida na kuvumilia?
Lakini wengi wanapopata matatizo hasa ya kifedha hugeuka na kuwa walaini na kuifutilia mbali misimamo yote waliyoiamini na kuishikilia huu ni udhaifu mkubwa.
Kwani wanawake hawawezi kuvumilia shida mpaka kuvunja misimamo yao ili wapate unafuu wa fedha kwa mtu ambaye waliapa kutojaribu hata kuwa naye ama kwa kuamua kusaliti penzi ama ndoa? Wanawake hawastahili kupata shida na kuvumilia?