Huu msemo unakera, 'samahani mpenzi wangu ni shetani kanipitia'

Huu msemo unakera, 'samahani mpenzi wangu ni shetani kanipitia'

venchwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2016
Posts
2,223
Reaction score
3,169
Halow mpo salama?

Hako ka msemo ka SAMAHANI MPENZI WANGU NI SHETAN KANIPITIA huwa kana sehem maalumu ya kutumika, sana sana kanatumiwa na jinsia flani hivi imefika hatua mpaka inakera kusikia neno "SAMAHANI NI SHETANI KANIPITIA" Maana linaambatana na dharau juu yako unayeombwa msamaha.

Nahisi mtakuwa mmejua kanatumika katika mazingira gani, je mpenzi wako anavochelewa kurudi nyumban, au mpenzi wako anavyokupiga kibao, anaweza kutamka hivyo? Au haka ka msemo ni maalumu kwa kosa maalumu tu? Mi nahisi SAA nyingine shetani anasingiziwa mengi sana.

Msemo huo na aina hii ya uombaji msamaha inakela sana. Tafakari uliwahi kuombwa hivyo msamaha na mpenzi wako? Ulimsamehe au ulihisi anakukejeli?
Ilitumia siku ngapi au mda gani mawazo juu ya kosa ilo kufutika kichwani mwako?

Tafakari toa jibu.
 
Binadamu kukosa ni sawa ila makosa mengine hua kichefuchefu,mfano unamfumania mtu zaidi ya mara 2 na still anakwambia shetani kampitia,shetani huyo anakupenda sana wewe tuu?
 
Samahani baby kwani shetani kwangu amejenga kibanda na amehamia kabisa.
 
shetani sometime anaonewaa binadamu ..mambo yamebadilika kwenye dunia hii ati
 
Ni vimsemo vya kukariri hakana maana yoyote,ni sawa na kamsemo ka kizungu - i can explain, huwa naona wanawajibu explain my ass.
 
Halow mpo salama?

Hako ka msemo ka SAMAHANI MPENZI WANGU NI SHETAN KANIPITIA huwa kana sehem maalumu ya kutumika, sana sana kanatumiwa na jinsia flani hivi imefika hatua mpaka inakera kusikia neno "SAMAHANI NI SHETANI KANIPITIA" Maana linaambatana na dharau juu yako unayeombwa msamaha.

Nahisi mtakuwa mmejua kanatumika katika mazingira gani, je mpenzi wako anavochelewa kurudi nyumban, au mpenzi wako anavyokupiga kibao, anaweza kutamka hivyo? Au haka ka msemo ni maalumu kwa kosa maalumu tu? Mi nahisi SAA nyingine shetani anasingiziwa mengi sana.

Msemo huo na aina hii ya uombaji msamaha inakela sana. Tafakari uliwahi kuombwa hivyo msamaha na mpenzi wako? Ulimsamehe au ulihisi anakukejeli?
Ilitumia siku ngapi au mda gani mawazo juu ya kosa ilo kufutika kichwani mwako?

Tafakari toa jibu.
Mi huwa ananiambiaga "jini lilinipitia" [emoji41]
 
Back
Top Bottom