Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,049
- 5,513
Ninampango wa kuanzisha 'Project ya ufugaji wa samaki' kwa malengo yafuatayo;
1. Kupambana na uvuvi haramu unaoendelea katika mito na maziwa nchini Tanzania.
2. kuondokana na dhana ya vijana kuajiriwa na serikali kuu.
3. kuongeza upatikanaji wa rasilimali samaki kwa urahisi zaidi
4. Kujiongezea kipato ili kuendesha maisha
5. Kutoa fursa ya ajira kwa vijana iwapo mradi utakamilika.
Je, huu mradi waweza kuwa na tija?
Nakaribisha wadau kutoa changamoto za mradi ili nichukue tahadhari mapema. KARIBUNI!
1. Kupambana na uvuvi haramu unaoendelea katika mito na maziwa nchini Tanzania.
2. kuondokana na dhana ya vijana kuajiriwa na serikali kuu.
3. kuongeza upatikanaji wa rasilimali samaki kwa urahisi zaidi
4. Kujiongezea kipato ili kuendesha maisha
5. Kutoa fursa ya ajira kwa vijana iwapo mradi utakamilika.
Je, huu mradi waweza kuwa na tija?
Nakaribisha wadau kutoa changamoto za mradi ili nichukue tahadhari mapema. KARIBUNI!