PostGE2025 Huu Mradi wa Mama Uliishia Wapi?

PostGE2025 Huu Mradi wa Mama Uliishia Wapi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Sitakuumiza Kamwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2025
Posts
446
Reaction score
1,392
Mama alianza vizuri sana. Tukawa na matumaini makubwa. Jua la demokrasia likaanza kuchomoza. Sote tukadhani kuwa tumeanza safari upya tukiwa na injini iliyosukwa upya.

Nini kilitokea mpaka mradi huu wa kusuka injini ya safari yetu upya ukafa? Kuna anayejua?

Screenshot_0230719_114900_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom