Hussen Bashe, muasi ndani ya CCM(?)


ocampo four
simama kama ulivyokua mwanzo endelea kupita kwenye reli, naona kama una "lose tension" punguza ukali wa maneno ndugu yangu
 
Last edited by a moderator:
ocampo four
simama kama ulivyokua mwanzo endelea kupita kwenye reli, naona kama una "lose tension" punguza ukali wa maneno ndugu yangu

Sometime kuna watu wanauzi sana hasa unapogundua wanasema uongo na uzushi ... Ila nimekuelewa Mkuu, I really apologize kwa hili.... Pamoja sana...
 
ocampo four
simama kama ulivyokua mwanzo endelea kupita kwenye reli, naona kama una "lose tension" punguza ukali wa maneno ndugu yangu
Asimame wapi? hana lolote..cjui watz wana matatizo gani, mtu hawezi kabisa kugundua km anachoandika ni ujinga..wanawaza kuwapa dhamana ya uongozi watu mufilisi kabisa, eti kwa vigezo anasaidia kuwapa vijana cjui mitaji, cjui sadaka, yaani hizo ndio sifa za kuwa kiongozi, cjui kusomesha watoto shule..upumbavu kabisa, mtu wa hivyo si aombe kazi red cross au c aende akahudumie wakimbizi dadabu au kigoma..
 

Jifunze kuifikirisha akili yako kwa upeo mpana, usituonyeshe kuwa una akili size ya kifaranga cha kuku, hufikirii mbali zaidi ya unapoona..tafuta sifa za kiongozi mzuri uwasaidie watu wa nzega kujua kiongozi mzr ni yupi, hata watz wngn..
 
aaaaaaah kumbeeeee ocampo four ndio weweee!

Daaaaah yaaani umejileta na kujiiingiza kingi mwenyewe!

Nilikuwa najiulizaga huyu ocampo four habar hizi anazitoa wapiii, kumbeeee sasa nimeeelewa vzr saana!

LAZIMA UKATWE KIDZAINI FULANI KAMA ALIVYOKATWA MZEE WAKO whitehair!
 
Last edited by a moderator:

Wala sio mimi Mkuu..... Niko Dar na Bashe mwenyewe yuko Nzega kwa sasa....... Nimeamua tu kuweka rekodi sahihi kuhusu huyo Mtu....
 
Last edited by a moderator:

atakatwa tu,kwani
 
Kama aliyekuja ni wa Habari Maelezo basi uko sahihi, na sina comment.... Ila kumbuka Bashe ni CEO wa Habari Cop na sio Habari Maelezo.... Hayo ya Habari Maelezo anayajua Asser Mwambene

Umemshika pabaya...anatamani a-edit comment
 

Kwahiyo yule asietoa msaada kwenye jamii ndio anafaa kuwa kiongozi sio..???
 
bashe harakati zake zitaishia nzega. dodoma atakatwa tu kama bosi wake lowasa...
 
Safari hii sio rahisi akatwe Mkuu... Mambo yamebadilika sana...

haa haa hata kwa lowasa mlisema hivihivi. subiri jina lake lifike dodoma. kuna taarifa zisizo rasmi kwamba wafuasi wote wa lowasa na wale wabunge wakosoaji wa serikali bungeni watakatwa huko dodoma. time will tell.
 
huyo bwana mdogo hatari sana kwa kujikomba kwa viongozi

Angekuwa anajikomba leo hii angekuwa na cheo kikubwa sana ndani ya serikali hii. Ila kutokana na msimamo wake hasa kwa Edward alijikuta akifanyiwa mizengwe ya kila namna katika maisha yake ya uongozi na hata familia....

Angekuwa anajikomba wala asingethubutu kutofautiana na mtoto wa namba 1. Ambaye katumia muda wake mwingi kumuwekea mizengwe katika maisha yake ya siasa kuanzia kwenye ubunge mpaka U Nec..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…