Ndiyo maana nimesema 'wengi' na pia mleta mada hakuweka muda wa kutoka,hii ni iliyoweka ni nyongeza yenye kejeli isiyo na ukweli, unataka kuniambia yeye kila siku anapita kwa Mzee Mwinyi kumsalimu?
Kikwete alikosa mbunge mwenye sifa ya kuwa waziri wa afya kutoka Tanzania bara ikabidi achukue mbunge kutoka Zanzibar ili aongozi wizara ya afya ambayo ni kwaajili ya Tanganyika tu kwani afya si ya muungano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.