taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 541
Nimeona leo nitoe kero yangu juu ya huyu Hussein Mwinyi, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii kuhusu tabia yake ya kwenda ofisini kuanzia saa 4 asubuhi. Hivi Hussein, unaonyesha mfano gani kwa jamii? Au kwa sababu wewe niWaziri basi hubanwi na kanuni za kazi zinazokutaka kufika ofisini saa1:30 asubuhi? Mtu yeyote akitaka kuhakikisha, pita njia ya Kawe chini saa nne asubuhi au saa tano hivi, utathibitisha. Anakera kwa kweli. Ajirekebishe maana anatuibia sisi walipa kodi.[/QUOTE
Kwani kazi ya waziri ni nini?