Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,652
- 13,470
Mwanariadha aliyewahi kutikisa katika mbio fupi ameanza kuitumikia timu yake mpya ya mpira wa miguu. Timu hiyo ya CCM imekuwa na matokeo mazuri ilipokutana na CCS. Bolt aliingia kipindi cha pili wakati timu yake ikiongoza kwa goli 6. Hope Ali Kiba naye ataanza kuitumikia Coastal Union hivi karibuni hususan pale timu yake itakapokuwa inaongoza!View attachment 854076View attachment 854077
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app