Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Safi sana Bashe umenena, lakini kumbuka jinsi ulivyowasaliti watu wa nzega.
Baada ya CCM kukukataa na kukudhalilisha, CDM walikupa mlango wa kuingilia ukakataa.
CCM walikusaliti hivyo ulitakiwa na wewe uwasaliti lakini si wapiga kura wako.
Leo ungekuwa Mh. Mbunge asee.
Baada ya CCM kukukataa na kukudhalilisha, CDM walikupa mlango wa kuingilia ukakataa.
CCM walikusaliti hivyo ulitakiwa na wewe uwasaliti lakini si wapiga kura wako.
Leo ungekuwa Mh. Mbunge asee.