- Thread starter
- #21
sasa naibu sindio anastahili kumsaidia waziri? mbona akina biteko kalemani walikuwa manaibu na kazi zilionekanaHivi unajua Bashe ni msaidizi tu wa waziri? Kwanini usimshutumu waziri mwenyewe wa kilimo kuliko wasaidizi wake? Usilete promo za kijingajinga za Kalemani. Tafuta mbinu nyingine za kumtangaza Kalemani lakini si kwa njia hii ya wivu