Hussein Bashe ni Mzigo, mtoe haraka vinginevyo abadilike

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,037
9,953
Kutokana na mabadiliko ya baraza la mawaziri lililotokea hivi karibuni mh Hussain Bashe alipata teuzi, tofauti na tulivyotarajia huyu jamaa yuko kimya tu wala hatujui anafanyanini hapo wizarani. Mvua za vuli zimeanza kunyesha sijamwona akienda minjingu kuangalia kama kuna mbolea ya kutosha. Tuna order yakupeleka mahindi Zimbabwe na Kenya jamaa wala hatoi mrejesho. Yupoyupo tu tofauti na akina Dr Kalemani Bashungwa Biteko Kigwangala

Tofauti na mh Bashungwa na Biteko hayo ni majembe kwelikweli siku yameteuliwa tukaona cheche kesho yake na yanaendelea kupiga kazi. Watanzania tulichelewa mno kuendelea tunahitaji watu wachapa kazi na sio watu wamichakato kujifunza vipaumbele hapana, uwaziri sio darasa la uongozi ni ofisi ya umma, hatuhitaji mtu wa kuanza farmirilazation. Mbona kule bungeni alikuwa kila siku anadadavua mambo kumbe zilikuwa porojo tu. Hebu atoke haraka asitupotezee muda.
 
Juzi juzi tuu tayar hafai umetumia kipimo cha babu yko kijijin
Tanzania inahitaji kwenda kwa kasi Zaidi, wananchi wana uchu wa maendeleo kama alikuwa haijui kazi aliyopewa basi akae pembeni ajifunze ka simbachawene
 
Kutokana na mabadiliko ya baraza la mawaziri lililotokea hivi karibuni mh Hussain Bashe alipata teuzi, tofauti na tulivyotarajia huyu jamaa yuko kimya tu wala hatujui anafanyanini hapo wizarani. Mvua za vuli zimeanza kunyesha sijamwona akienda minjingu kuangalia kama kuna mbolea ya kutosha. Tuna order yakupeleka mahindi Zimbabwe na Kenya jamaa wala hatoi mrejesho. Yupoyupo tu tofauti na akina Dr Kalemani Bashungwa Biteko Kigwangala
Wizara ina manaibu wawili,kuna bashe na yule mh wa Morogoro kusini
Kila mtu ana mipaka yake,acha wivu na chuki binafsi
 
Watu wakishauriwa kutokunywa mapombe ya kienyeji yaliyo chacha, ubishi tuuuu matokeo yake ndiyo hayo!!. Bashe hata mwezi hajamaliza umeshabaini hafai looo!!
Mkuu kuna watu wana matatizo.
Hapa kinachotafutwa si Bashe nadhani mleta uzi anataka kuonyesha kuwa aliyemteua hana uwezo wa kufanya proper selection ya viongozi wazuri.
 
Wewe utakuwa una lako jambo, ungefanya research kidogo tu ungeiona video youtube alipokuwa anaongoza kikao kilichomjumuisha na balozi wa kenya wakigawana majukumu na kuweka mikakati, itafute huko utaona anachofanya.
hiyo sijui michakato ndio hiyo tunayokataa, mvua zimeanza kunyesha mbolea hakuna hatujui akina ya mbolea ikoje hatjui hali ya mazao shambani ikoje hatujui maofisa ugani wako wapi mnakaa maofisini mnaendelea na michakato na upembuzi yakinifu, alah!
 
Watu wakishauriwa kutokunywa mapombe ya kienyeji yaliyo chacha, ubishi tuuuu matokeo yake ndiyo hayo!!. Bashe hata mwezi hajamaliza umeshabaini hafai looo!!
mkuu mwezi ni mkubwa mno kwa mtu mchapakazi, hajaanzisha hiyo wizara kuna maofisa wapo hapo wizarani budget ya wizara anayo, ilani ya ccm anayo sinikutekeleza tu anashindwa nini? mbona Bashungwa tunamwona Dr Kalemani tunamwona yeye vipi?
 
Minjingu walilalamika kutozwa kodi zisizo rafiki nazo anasubiri balozi wakenya amshauri nini cha kufanya? Hebu atoke asitupotezee ramani za maisha, kile kibabu cha uchukuzi kila siku kinaibua miradi mipya safi sana, watanzania wanataka maendeleo.
 
Kutokana na mabadiliko ya baraza la mawaziri lililotokea hivi karibuni mh Hussain Bashe alipata teuzi, tofauti na tulivyotarajia huyu jamaa yuko kimya tu wala hatujui anafanyanini hapo wizarani. Mvua za vuli zimeanza kunyesha sijamwona akienda minjingu kuangalia kama kuna mbolea ya kutosha. Tuna order yakupeleka mahindi Zimbabwe na Kenya jamaa wala hatoi mrejesho. Yupoyupo tu tofauti na akina Dr Kalemani Bashungwa Biteko Kigwangala

Tofauti na mh Bashungwa na Biteko hayo ni majembe kwelikweli siku yameteuliwa tukaona cheche kesho yake na yanaendelea kupiga kazi. Watanzania tulichelewa mno kuendelea tunahitaji watu wachapa kazi na sio watu wamichakato kujifunza vipaumbele hapana, uwaziri sio darasa la uongozi ni ofisi ya umma, hatuhitaji mtu wa kuanza farmirilazation. Mbona kule bungeni alikuwa kila siku anadadavua mambo kumbe zilikuwa porojo tu. Hebu atoke haraka asitupotezee muda.

Acha umbea.wivu tuuuuuuuu
 
mlevi ambaye ilimuhitaji kutumia zaidi ya 5000 kununua viroba vitakavyomfanya alewe sasa imekuwa tofauti , mlevi huyo atahitaji 500 kununua mataputapu na kulewa kabisa.SAY NO TO MATAPUTAPU
 
Kutokana na mabadiliko ya baraza la mawaziri lililotokea hivi karibuni mh Hussain Bashe alipata teuzi, tofauti na tulivyotarajia huyu jamaa yuko kimya tu wala hatujui anafanyanini hapo wizarani. Mvua za vuli zimeanza kunyesha sijamwona akienda minjingu kuangalia kama kuna mbolea ya kutosha. Tuna order yakupeleka mahindi Zimbabwe na Kenya jamaa wala hatoi mrejesho. Yupoyupo tu tofauti na akina Dr Kalemani Bashungwa Biteko Kigwangala

Tofauti na mh Bashungwa na Biteko hayo ni majembe kwelikweli siku yameteuliwa tukaona cheche kesho yake na yanaendelea kupiga kazi. Watanzania tulichelewa mno kuendelea tunahitaji watu wachapa kazi na sio watu wamichakato kujifunza vipaumbele hapana, uwaziri sio darasa la uongozi ni ofisi ya umma, hatuhitaji mtu wa kuanza farmirilazation. Mbona kule bungeni alikuwa kila siku anadadavua mambo kumbe zilikuwa porojo tu. Hebu atoke haraka asitupotezee muda.
Ni wivu tu
 
mkuu mwezi ni mkubwa mno kwa mtu mchapakazi, hajaanzisha hiyo wizara kuna maofisa wapo hapo wizarani budget ya wizara anayo, ilani ya ccm anayo sinikutekeleza tu anashindwa nini? mbona Bashungwa tunamwona Dr Kalemani tunamwona yeye vipi?
Hivi unajua Bashe ni msaidizi tu wa waziri? Kwanini usimshutumu waziri mwenyewe wa kilimo kuliko wasaidizi wake? Usilete promo za kijingajinga za Kalemani. Tafuta mbinu nyingine za kumtangaza Kalemani lakini si kwa njia hii ya wivu
 
sio umbeya niambie tangu ateuliwe kafanya nini?
Aliyemteua najua
mm nakushangaa mbona unampangia kazi Rais wetu
Bashe ni kijana hodari sana, na anakwenda kiakili si kwa kukurupuka kutumia Media km kina Makamba na Mnauye
mpe muda kwani Uchaguzi nao umefika atakapopata Uwaziri uchaguzi ujao ndipo mpigie kelele
 
Back
Top Bottom