Hussein Bashe aongea na vyombo vya habari

Inv, heading yako inasema "H. Bashe aongea na vyombo vya habari " tuambie ameongea nini, unasema ameongea then unaanza speculation.

inaonekana hujawahi ona threads za developing news? unakuwa unapata real time updates za tukio.
kuwa mtulivu na muache mkuu ashushe vitu hapa.
 
Atatoa ufafanuzi wa mambo kadhaa kama itakavyoonekana kwenye 1st post kwenye hii topic. Nitawa-update juu ya kinachoendelea kwenye kikao hicho.

============

UPDATES:

  • Kikao ndo kinaanza.

  • Anasema kamati ya UVCCM iliyoundwa ku-reform si kamati ya kujivua gamba. Anajaribu kutoa ufafanuzi.

  • Tumeamua kufanya reform kipindi hiki ambacho bado UVCCM ina ushawishi ndani ya jamii na bado CCM ipo madarakani nchi bado ina amani na utulivu.

  • Anatoa ufafanuzi juu ya kwanini kamati ya reform iliundwa ndani ya UVCCM na anatoa historia ya wapi wametoka na kwanini wamefikia hapa.

  • Anasema UVCCM itashirikiana na vijana wa kada zote kuanzia wamachinga mpaka vijana wasomi. Wawe wa CCM au wasiwe wa CCM provided CCM ndicho chama tawala! Kamati yake itatoa taarifa ya kazi yake mwezi Julai kama ilivyotakiwa kufanya. Anajaribu kutoa ufafanuzi juu ya namna watakavyofanya data collection. Anasema FaceBook na mitandao ya kijamii vitatumika pamoja na Public hearing katika kufanikisha azma.

  • Anaulizwa juu ya mafisadi watatu Rostam, Chenge na Lowassa, wao kama UVCCM wanasemaje juu ya magamba haya!

  • Anasema suala la 'magamba' limetolewa ufafanuzi na Katibu mkuu wa CCM na hivyo hadhani kama kuna suala la mtu kufukuzwa mtu ndani ya CCM. Anasema yeye si msemaji mkuu wa CCM (NEC) lakini anaamini Mukama anaweza kulitolea ufafanuzi hilo.

  • Kaulizwa kuwa suala la kufukuzwa mafisadi lilianzia UVCCM na sasa CCM ikawa inaelekea kwenye utekelezaji, anaongeleaje juu ya hili?

  • I got disconnected, natumaini maswali yote aliyoulizwa pamoja na la uraia wake yatajibiwa!

Machinga hawana taimu na mafisadi. UVCCM ijivue gamba. Bashe na Beno walidhihirisha wazi wapo upande gani. Hakuna jipya
:bange:
 
Kwa maelezo ya Bashe, watatumia asasi za kiraia zinazojihusisha na siasa kuijenga/iimarisha UVCCM. Hapa nimewaza sana, najaribu kujiuliza asasi gani hizi?
 
Kwa maelezo ya Bashe, watatumia asasi za kiraia zinazojihusisha na siasa kuijenga/iimarisha UVCCM. Hapa nimewaza sana, najaribu kujiuliza asasi gani hizi?

Mkuu unatupoteza, hizi updates weka kule juu mkuu.

Watatumia, HAKI ELIMU, TGNP, TWAWEZA, AGENDA PARTICIPATION etc
 
mmmmh huyu mmanga bado tu hatuachi wananchi na futuhi zao za umoja wa vilaza ccm chini ya joka lao kuu kingunge
 
Atatoa ufafanuzi wa mambo kadhaa kama itakavyoonekana kwenye 1st post kwenye hii topic. Nitawa-update juu ya kinachoendelea kwenye kikao hicho.

============

UPDATES:

  • Kikao ndo kinaanza.

  • Anasema kamati ya UVCCM iliyoundwa ku-reform si kamati ya kujivua gamba. Anajaribu kutoa ufafanuzi.

  • Tumeamua kufanya reform kipindi hiki ambacho bado UVCCM ina ushawishi ndani ya jamii na bado CCM ipo madarakani nchi bado ina amani na utulivu.

  • Anatoa ufafanuzi juu ya kwanini kamati ya reform iliundwa ndani ya UVCCM na anatoa historia ya wapi wametoka na kwanini wamefikia hapa.

  • Anasema UVCCM itashirikiana na vijana wa kada zote kuanzia wamachinga mpaka vijana wasomi. Wawe wa CCM au wasiwe wa CCM provided CCM ndicho chama tawala! Kamati yake itatoa taarifa ya kazi yake mwezi Julai kama ilivyotakiwa kufanya. Anajaribu kutoa ufafanuzi juu ya namna watakavyofanya data collection. Anasema FaceBook na mitandao ya kijamii vitatumika pamoja na Public hearing katika kufanikisha azma.

  • Anaulizwa juu ya mafisadi watatu Rostam, Chenge na Lowassa, wao kama UVCCM wanasemaje juu ya magamba haya!

  • Anasema suala la 'magamba' limetolewa ufafanuzi na Katibu mkuu wa CCM na hivyo hadhani kama kuna suala la mtu kufukuzwa mtu ndani ya CCM. Anasema yeye si msemaji mkuu wa CCM (NEC) lakini anaamini Mukama anaweza kulitolea ufafanuzi hilo.

  • Kaulizwa kuwa suala la kufukuzwa mafisadi lilianzia UVCCM na sasa CCM ikawa inaelekea kwenye utekelezaji, anaongeleaje juu ya hili?

  • I got disconnected, natumaini maswali yote aliyoulizwa pamoja na la uraia wake yatajibiwa!

lete vitu mkuu
 
Kila mtu anatakakuitisha mkutano na waadishi wa habari,sasa hii imekuwa ni fujo sio taarifa tena.
Basi hata mimi nitakuwa na mkutano na waandishi wa jamiiforum hapo kesho kuanzia saa nne 4:00am.
Tafadhali waandishi wote wa Jamiiforum msikose kuna mjadala mkubwa sana utafanyika kesho hapa hapa JAMIIFORUM.
Karibuni wote wenye itikadi na wasio na itikadi za kisiasa au za kidini,za kielimu au za kimachinga.Wote tuko sawa
 
Inv, heading yako inasema "H. Bashe aongea na vyombo vya habari " tuambie ameongea nini, unasema ameongea then unaanza speculation.

mkuu kiswahili umesomea wapi mkuu? Maneno kama "aongea" hayana tense,ina maana labda jana,leo au baadae. Akisema 'anaongea', ameongea au ataongea ndo ungelaumu!
 
Hapo sawa mkuu.

Suala la uraia wa Bashe mbona halina utata? Huyu bwana ni wa kutoka ukoo wa Darood kutoka jimbo la Puntiland. Ni ukoo maarufu kwa uharamia na mimi nilifikiri wakati mzuri kuondoka ulikuwa ni pale Rais wa Serikali ya Mpito alipokuja kufanya ziara hapa.

Haya mambo ya kumwacha atambe tambe ndiyo baadae anakuwa kama Rostam halafu kumtoa inakuwa ni issue mpaka maandamano. Ni fisadi chipukizi ambaye anatakiwa kung'olewa.
 
Bashe kasema umefika wakati CCM lazima ikubali kufanya siasa nje ya chama! Mtu ndani ya UVCCM akipata kuhudhuria mojawapo ya mikutano ya BAVICHA na akaona hoja inayoongelewa ni ya msingi na manufaa kwa nchi basi isiachwe kisa ni kutoka upinzani.
 
halafu huyu mmanga unaweza kukuta ndio aliyeagizwa akamlete yule Jamaa wa Al Shababu kuja kumshughulikia Dr.Mwakyembe
 
Atatoa ufafanuzi wa mambo kadhaa kama itakavyoonekana kwenye 1st post kwenye hii topic. Nitawa-update juu ya kinachoendelea kwenye kikao hicho.

============

UPDATES:

  • Kikao ndo kinaanza.
  • Anasema kamati ya UVCCM iliyoundwa ku-reform si kamati ya kujivua gamba. Anajaribu kutoa ufafanuzi.
  • Tumeamua kufanya reform kipindi hiki ambacho bado UVCCM ina ushawishi ndani ya jamii na bado CCM ipo madarakani nchi bado ina amani na utulivu.
  • Anatoa ufafanuzi juu ya kwanini kamati ya reform iliundwa ndani ya UVCCM na anatoa historia ya wapi wametoka na kwanini wamefikia hapa.
  • Anasema UVCCM itashirikiana na vijana wa kada zote kuanzia wamachinga mpaka vijana wasomi. Wawe wa CCM au wasiwe wa CCM provided CCM ndicho chama tawala! Kwa maelezo ya Bashe, watatumia asasi za kiraia zinazojihusisha na siasa kuijenga/iimarisha UVCCM. Kamati yake itatoa taarifa ya kazi yake mwezi Julai kama ilivyotakiwa kufanya. Anajaribu kutoa ufafanuzi juu ya namna watakavyofanya data collection. Anasema FaceBook na mitandao ya kijamii vitatumika pamoja na Public hearing katika kufanikisha azma.
  • Anaulizwa juu ya mafisadi watatu Rostam, Chenge na Lowassa, wao kama UVCCM wanasemaje juu ya magamba haya!
  • Anasema suala la 'magamba' limetolewa ufafanuzi na Katibu mkuu wa CCM na hivyo hadhani kama kuna suala la mtu kufukuzwa mtu ndani ya CCM. Anasema yeye si msemaji mkuu wa CCM (NEC) lakini anaamini Mukama anaweza kulitolea ufafanuzi hilo.
  • Kaulizwa kuwa suala la kufukuzwa mafisadi lilianzia UVCCM na sasa CCM ikawa inaelekea kwenye utekelezaji, anaongeleaje juu ya hili?
  • I got disconnected, natumaini maswali yote aliyoulizwa pamoja na la uraia wake yatajibiwa!
  • Suala la uraia amelitolea ufafanuzi, kuwa wagombea wakati wanaenda kwenye kura za maoni wangechujwa kabla ya kupelekwa kwa raia ili masuala yenye mashaka yaepukwe. Ameisifia CCM kwa kuamua kumwondoa kuepuka risk lakini baadae kumsafisha kuwa uraia wake hauna utata kupitia kwa waziri aliyekuwa na dhamana.
  • Kaulizwa kwanini CCM haikumsafisha akasafishwa na serikali; kasema chama hakina mamlaka ya kumsafisha.
  • Suala ya yeye, Shigella na Ridhiwani kudaiwa ni mafisadi kasema ni maoni ya watu. Ila akasisitiza ndani ya CCM pamevamiwa pia na yeyote sasa anaweza kuongea na vyombo vya habari na kutoa taarifa tu!
  • Anasisitiza mkakati wa kuchafuana ndani ya UVCCM unajulikana unasukwa na nani na anaye-finance anajulikana kwani dhamira yake ni urais 2015. Ametuma vijana Iringa, Mbeya, Ruvuma na anaendelea kuwatumia wengi. Itafika wakati watalazimika kumtaja hadharani.
  • Kaulizwa kama wataitumia JF kakiri kuwa wataitumia pia kukusanya maoni ya wananchi kuelekea kuifanya UVCCM irejeshe heshima yake na ku-appeal kwenye public.


mkuu lakini unakatika-katika sana.

ahsante kwa updates.
 
Juzi Nipe naye, jana rithone, leo Bwashee, kesho born maliza, mtondogoo, Kingi kambale mwitu,...hakuna msemaji hata baada gamba kuvuliwa!!!
 
wezi tu hawa....tunawapa muda na pumzi zetu badala ya kuwatoa! kila siku tunaimba nao na kucheza nao ngoma!
 
Back
Top Bottom