Hussein Bashe anapomtilia maneno kinywani mheshimiwa Lowassa....!!!!

Shagiguku

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
407
133
Kupitia jahazi la Clouds FM jana na leo asubuhi kupitia power break fast; Nimemsikia Hussein Bashe Bashe akijaribu kuzungumzia maneno aliyoyasema mheshimiwa Lowasa kule jimboni kwake Monduli katika sherehe za mwaka mpya 2014.

Bahati nzuri sana nimemsikia na mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa yeye mwenyewe akizungumza hayo maneno yake yeye mwenyewe.

Ni mwehu tu na mwendawazimu ndiye anayeweza kuaanza kuyatafasili kwa namna ya kuyapotosha kutoka katika UKWELI HALISI WA MOYONI WA MHESHIMIWA LOWASA na kuyaweka katika namna ya kuyapakapaka rangi kwa namna ambayo yeye mpotoshaji anaitaka ili kuwapotosha watu.

Kwa mtu makini (kama mimi hapa) ukisikiliza neno kwa neno, sentensi kwa sentensi pamoja na "TONE" ya mheshimiwa Lowasa, basi utaelewa ni nini alichokuwa anakimaaanisha, na siyo upotoshaji unaofanywa na Bashe.

Bwana Bashe unaweza kuwa upo karibu na pia sana na mheshimiwa Lowasa kuliko mimi, unaweza kuwa unaongea naye mara kwa mara kuliko mimi ambaye hajawahi kusikia sauti yangu tangu nizaliwe, lakini kwa kile alichokisema pale Monduli ni wazi kwamba mheshimiwa Lowasa alikuwa ANA MAAAAANISHA kile alichokuwa anakisema.

Anaposema kwamba, "...tuianze safari yetu ngumu ambayo inapita katika mabonde, milima na miiba." anaongeza kwamba, "...nawashukuru kwa kuja kuniunga mkono katika safari hiiii tunayoianza leo...!!" kwamba ndoto yake Lowasa ya kuona watanzania wanapata elimu bure, wanapata maji safi na salaaama, wanapata huduma bora za afya nk nk. Na tena ndoto yake hiyo inahitaji kusimamiwa (je, inahitaji kusimamiwa na nani???) Ndoto hiii itasimamiwa na mtu ambaye ni kiongozi wa ngazi ya juuu mwenye uthubutu na ujasili wa kufanya mambo pasipo uoga, potelea mbali matokeo ya hicho anachokisimamia.

Maaaaana tukirudi nyuma, kama ni swala la elimu tuliliona mheshimiwa Lowasa alivolisimamia hadi tukawa na shule ya sekondari kila kata, shule ambazo leo hii zimesimama na zinafanya vizuri, na sasa kuianza safari kwa mfano hapo katika elimu kunakujaje wakati safari alikwishaga kuianzisha siku nyingi tu...!!!!!

Ombi langu kwako Bashe, muaaache mheshimiwa Lowasa na maneno yake kama alivoTUAMBIA SISI WATANZANIA, na wala usiyapotoshe, maaaaana kama weye utajifanya msemaji wa Lowasa basi utasababisha kutuchanganya sisi wasikilizaji wa Lowasa, tuachie hayo maneno kama yalivo kwa kuwa hukuyasema weye bali aliyasema yeye na sisi tumeyasikia, na tunaaaamini kuwa TUMEMWELEWA VIZURI SANA mheshimiwa Lowasa kuliko weye unavotaka tumwelewe kwa kutupotosha kinafiki.

Kwako mheshimiwa Lowasa, najua weye ni member mzuri sana wa jukwaaaa hili na nyinginezo katika mitandao ya kijamiiii tena ninaaaamini kwa muda huuu unaisoma hiii post kwa makini sana tena ukienda neno kwa neno sentensi kwa sentensi; Najua kuwa una marafiki wa karibu tena wanaokufahamu vizuri sana kuliko sisi WANANZENGO (wananchi wakata nyasi wa kawaida) Ombi langu kwako ni kuwa, usiwaruhusu saaaaaaana wawe WASEMAJI WAKO, maaaana mara nyingi wanakuja na upotoshaji ambao weye binafsi hukuuukusudia kuuusema kama wanavousema wao. Nikuombe uwakemeeeee pale unapooona wanajaribu kupotosha kile ulichokusudia kukisema (WANAHARIBU "MEANING" YA KILE ULICHOKUWA UNAKIWASILISHA KWA WASIKILIZAJI WAKO)

Narudi kwako mdogo wangu Nape Moses Nnauye, maaaana pia naelewa nawe kama kijana mtanzania, ni mmoja ya watu ambao wana akaunti humu JF. Tafadhari naomba unielimishe tu kidogo mahala popote katika katiba ya CCM au ya Tanzania (yaaaani hiii katiba chakavu) au taratibu zozote rasmi (documents rasmi) za CCM ambapo panaonesha kwamba mtu akielezea nia yake ya kutaka kuwa kiongozi wa watanzania basi ANAPOTEZA SIFA ZA KUWA MGOMBEA URAIS.....!!!!!??? Maaaaana mheshimiwa Lowasa alipokuwa anaongea kule Monduli hakuwa anaongea na wana-CCM, bali alikuwa anaongea na wananzengo wa jimbo lake na watanzania wote kwa ujumla wetu pasipokujali itikadi zetu za kidini au kisiasa. Sasa weye unapoamka na kuanza kusema mtu anapotangaza nia yake anakuwa kapoteza sifa za kuwa mgombea una maaaaanisha nini!!!!! Hivi kama mtu ana kitu moyoni kinamkeleketa kukisema unataka asubiri nini kusema???????? Waswahili husema hiviiii, "STAREHE YA KOHOZI NI KULITEMA" Tafadhari bwana uwe na aibu japo kidogo tu kwa wazeeee wako....!!!

Napenda kuwasilisha.

Nakala kwa:

1. Lowassa Ngoyai Edward

2. Hussein Bashe

3. Nape Moses Nnauye
 
Niliwasikiwe kile kijiwe cha mizaha clouds fm, Na Hussein Bashe Lowassa katangaza nia halafu bashe anakana.. Hahahaa
 
Kama Bashe alijua kuwa kutangaza nia ya kugombea urais kwa sasa ni kinyume na kanuni za chama chao kwa nini hakumshauri boss wake aache kufanya hivyo kwa kuzingatia madhara ya kufanya hivyo? Itakuwa vigumu sana kwa Bashe kueleweka wakati maneno ya EL yamesikika na wengi!
 
Kupitia jahazi la Clouds FM jana na leo asubuhi kupitia power break fast; Nimemsikia Hussein Bashe Bashe akijaribu kuzungumzia maneno aliyoyasema mheshimiwa Lowasa kule jimboni kwake Monduli katika sherehe za mwaka mpya 2014.

Bahati nzuri sana nimemsikia na mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa yeye mwenyewe akizungumza hayo maneno yake yeye mwenyewe.

Ni mwehu tu na mwendawazimu ndiye anayeweza kuaanza kuyatafasili kwa namna ya kuyapotosha kutoka katika UKWELI HALISI WA MOYONI WA MHESHIMIWA LOWASA na kuyaweka katika namna ya kuyapakapaka rangi kwa namna ambayo yeye mpotoshaji anaitaka ili kuwapotosha watu.

Kwa mtu makini (kama mimi hapa) ukisikiliza neno kwa neno, sentensi kwa sentensi pamoja na "TONE" ya mheshimiwa Lowasa, basi utaelewa ni nini alichokuwa anakimaaanisha, na siyo upotoshaji unaofanywa na Bashe.

Bwana Bashe unaweza kuwa upo karibu na pia sana na mheshimiwa Lowasa kuliko mimi, unaweza kuwa unaongea naye mara kwa mara kuliko mimi ambaye hajawahi kusikia sauti yangu tangu nizaliwe, lakini kwa kile alichokisema pale Monduli ni wazi kwamba mheshimiwa Lowasa alikuwa ANA MAAAAANISHA kile alichokuwa anakisema.

Anaposema kwamba, "...tuianze safari yetu ngumu ambayo inapita katika mabonde, milima na miiba." anaongeza kwamba, "...nawashukuru kwa kuja kuniunga mkono katika safari hiiii tunayoianza leo...!!" kwamba ndoto yake Lowasa ya kuona watanzania wanapata elimu bure, wanapata maji safi na salaaama, wanapata huduma bora za afya nk nk. Na tena ndoto yake hiyo inahitaji kusimamiwa (je, inahitaji kusimamiwa na nani???) Ndoto hiii itasimamiwa na mtu ambaye ni kiongozi wa ngazi ya juuu mwenye uthubutu na ujasili wa kufanya mambo pasipo uoga, potelea mbali matokeo ya hicho anachokisimamia.

Maaaaana tukirudi nyuma, kama ni swala la elimu tuliliona mheshimiwa Lowasa alivolisimamia hadi tukawa na shule ya sekondari kila kata, shule ambazo leo hii zimesimama na zinafanya vizuri, na sasa kuianza safari kwa mfano hapo katika elimu kunakujaje wakati safari alikwishaga kuianzisha siku nyingi tu...!!!!!

Ombi langu kwako Bashe, muaaache mheshimiwa Lowasa na maneno yake kama alivoTUAMBIA SISI WATANZANIA, na wala usiyapotoshe, maaaaana kama weye utajifanya msemaji wa Lowasa basi utasababisha kutuchanganya sisi wasikilizaji wa Lowasa, tuachie hayo maneno kama yalivo kwa kuwa hukuyasema weye bali aliyasema yeye na sisi tumeyasikia, na tunaaaamini kuwa TUMEMWELEWA VIZURI SANA mheshimiwa Lowasa kuliko weye unavotaka tumwelewe kwa kutupotosha kinafiki.

Kwako mheshimiwa Lowasa, najua weye ni member mzuri sana wa jukwaaaa hili na nyinginezo katika mitandao ya kijamiiii tena ninaaaamini kwa muda huuu unaisoma hiii post kwa makini sana tena ukienda neno kwa neno sentensi kwa sentensi; Najua kuwa una marafiki wa karibu tena wanaokufahamu vizuri sana kuliko sisi WANANZENGO (wananchi wakata nyasi wa kawaida) Ombi langu kwako ni kuwa, usiwaruhusu saaaaaaana wawe WASEMAJI WAKO, maaaana mara nyingi wanakuja na upotoshaji ambao weye binafsi hukuuukusudia kuuusema kama wanavousema wao. Nikuombe uwakemeeeee pale unapooona wanajaribu kupotosha kile ulichokusudia kukisema (WANAHARIBU "MEANING" YA KILE ULICHOKUWA UNAKIWASILISHA KWA WASIKILIZAJI WAKO)

Narudi kwako mdogo wangu Nape Moses Nnauye, maaaana pia naelewa nawe kama kijana mtanzania, ni mmoja ya watu ambao wana akaunti humu JF. Tafadhari naomba unielimishe tu kidogo mahala popote katika katiba ya CCM au ya Tanzania (yaaaani hiii katiba chakavu) au taratibu zozote rasmi (documents rasmi) za CCM ambapo panaonesha kwamba mtu akielezea nia yake ya kutaka kuwa kiongozi wa watanzania basi ANAPOTEZA SIFA ZA KUWA MGOMBEA URAIS.....!!!!!??? Maaaaana mheshimiwa Lowasa alipokuwa anaongea kule Monduli hakuwa anaongea na wana-CCM, bali alikuwa anaongea na wananzengo wa jimbo lake na watanzania wote kwa ujumla wetu pasipokujali itikadi zetu za kidini au kisiasa. Sasa weye unapoamka na kuanza kusema mtu anapotangaza nia yake anakuwa kapoteza sifa za kuwa mgombea una maaaaanisha nini!!!!! Hivi kama mtu ana kitu moyoni kinamkeleketa kukisema unataka asubiri nini kusema???????? Waswahili husema hiviiii, "STAREHE YA KOHOZI NI KULITEMA" Tafadhari bwana uwe na aibu japo kidogo tu kwa wazeeee wako....!!!

Napenda kuwasilisha.

Nakala kwa:

1. Lowassa Ngoyai Edward

2. Hussein Bashe

3. Nape Moses Nnauye
Mbona una weweseka mkuu!!!
Kama wewe unamuelewa sana sana Mhe Lowassa tuambie basi ATAGOMBEA KITI CHA URAIS AU LA?
Kata basi mzizi wa fitna, tusiongelee makwapani, hapa ni JF bana!!!!
 
Mbona una weweseka mkuu!!!
Kama wewe unamuelewa sana sana Mhe Lowassa tuambie basi ATAGOMBEA KITI CHA URAIS AU LA?
Kata basi mzizi wa fitna, tusiongelee makwapani, hapa ni JF bana!!!!


Mkuuu soma vizuri thread ili uielewe, sijasema kama namuelewa vizuri Lowasa. Na sijasema kama atagombea ama hatagombea uraisi. Nilichokisema ni kwamba, kuna mtu anaitwa hussein bashe ameyapotosha yale aliyoyasema lowasa. kwa maaana kama unataka jibu la mtu anayemjua lowasa basi wasiliana na bashe naye atakupa jibu sahihi la iwapo lowasa anagombea ama hagombei kwa kuwa yeye ndiye anayemjua lowasa vizuri na hata kwenye hizo sherehe za mwaka mpya kule monduli alikuwa ameaaaalikwa na lowasa.
 
Nadhani mleta mada ni vizuri ungetufahamisha na sisi ambao hatukupata fursa ya kumsikiliza bwaana Bashe ya kwamba kamteteaje Mh Lowassa.
 
hawa wanajishau kua watanzania wa sasa wanauwezo mkubwa wa kufikiri na uelewa wa mambo tena wanataka kutuvuruga tu lakini tukae tukijua wanatapatapa kujinusuru maana hata wenyewe wamevunjika vipande vipande kila mtu analinda maslahi yake tuwaambie tumewatambua na waache unafiki wata aibika na taifa litaendelea....
 
Cloudz FM? No I cant listen...


Hongera sana kwa msimamo wako wa kutokusikiliza clouds FM, wengine sisi huwaga tunasikiliza kila radio, kila televisheni na kila gazeti liwe la ndani ya nchi ama nje ya nchi kwa nia na lengo la kujifunza kile tunachokisikiliza, kukitazama au kukisoma.

Ishu hapa siyo kikombe chenye chai (kwamba ni cha plastiki au cha udongo) ishu hapa ni ile chai iliyomo ndani ya kikombe kwa maaana kwamba, Je inanyweka? je, ina sukari ya kutosha?? Je, ni lazima niiinywe ama niiiache??? nk, nk.

Na wala hatuaaangalii hapa kuwa nani kaipika hiyo chai, iwe imepikwa na mwanaume au mwanamke sisi hilo siyo ishu, iwe imepikwa na mtoto au mtu mzima sisi hiyo siyo ishu, Iwe imepikwa kwenye jiko la umeme, mkaaa, gesi, au kuni sisi hiyo siyo ishu. Iwe imepikiwa maji au maziwa sisi hiyo siyo ishuuuuuuu....!!!!

Hivo sasa kama clouds wanakitu cha kujifunza tutawasikiliza. Na tena hata hayo aliyoyasema Lowasa na Bashe siyo maneno yao, bali wao ni "MEDIA" tu ya habari, yaaani wao ni kipitishia habari tu.

Kalaga baho......!!!
Ushauri tu wa bure, sikiliza kila kitu kutoka kila mahala. Lakini jifunze kuchambua na kukielewa vizuri kile unachokisikia.

"Ukikataaaa kujifunza utakuwa FUNZA." siyo maneno yangu hayo, bali ni maneno ya akofu AUGUSTO MPEMBA.
 
huyo bashe ndio msemaji wa mh? mbona mbele mbele umeahidiwa ubunge nn mm nitaweka pigamizi kagombee somalia
 
Lowassa wenu akiteuliwa na chama chake kupeperusha bendera ya kugombea urais basi:-
1. Itabidi chama kitumie nguvu nyingi sana kumnadi pamoja na kumsafisha ya yale yaliyompata huko nyuma, itabidi watumie nguvu nyingi mno ikibidi sehemu fulani watumie na nguvu ya jeshi hivyo zile Katyusa zilizoko store itabidi zitolewe kumnadi Lowassa kwenye kampeni
2. Wapinzani watamchafua sana , watatumia mwanya wa yaliyomppata nyuma ya Richmond kumchafua , yaani watamchafua kweli kweli
Sasa kama CCM wako makini kwa nini wachague mtu ambae watatumia nguvu nyingi za pesa, za kuroga, za kijeshi kumnadi wakati wengine ambao ni poa kabisa wapo?
3. Lowassa iliisha Laaniwa NA Mzee Nyerere hafai urais na kweli hafai mbona anautafura urais kama vile ngo`ombe hawakunywa maji jana wamepewa leo? Hivi Lowassa anautafuta urais aufanyie nini?
 
Mkuuu soma vizuri thread ili uielewe, sijasema kama namuelewa vizuri Lowasa. Na sijasema kama atagombea ama hatagombea uraisi. Nilichokisema ni kwamba, kuna mtu anaitwa hussein bashe ameyapotosha yale aliyoyasema lowasa. kwa maaana kama unataka jibu la mtu anayemjua lowasa basi wasiliana na bashe naye atakupa jibu sahihi la iwapo lowasa anagombea ama hagombei kwa kuwa yeye ndiye anayemjua lowasa vizuri na hata kwenye hizo sherehe za mwaka mpya kule monduli alikuwa ameaaaalikwa na lowasa.
Napenda ulivyojibu, short & clear
 
Lowassa wenu akiteuliwa na chama chake kupeperusha bendera ya kugombea urais basi:-
1. Itabidi chama kitumie nguvu nyingi sana kumnadi pamoja na kumsafisha ya yale yaliyompata huko nyuma, itabidi watumie nguvu nyingi mno ikibidi sehemu fulani watumie na nguvu ya jeshi hivyo zile Katyusa zilizoko store itabidi zitolewe kumnadi Lowassa kwenye kampeni
2. Wapinzani watamchafua sana , watatumia mwanya wa yaliyomppata nyuma ya Richmond kumchafua , yaani watamchafua kweli kweli
Sasa kama CCM wako makini kwa nini wachague mtu ambae watatumia nguvu nyingi za pesa, za kuroga, za kijeshi kumnadi wakati wengine ambao ni poa kabisa wapo?
3. Lowassa iliisha Laaniwa NA Mzee Nyerere hafai urais na kweli hafai mbona anautafura urais kama vile ngo`ombe hawakunywa maji jana wamepewa leo? Hivi Lowassa anautafuta urais aufanyie nini?

Hakitakuwa na haja ya kutumia nguvu nyingi kwa sababu hakuna uchaguzi wowote wa rais ambao CCM imewahi kupata chini ya 50%. Hata uchaguzi ujao CCmM kama chama kitashinda.
Utakapofika wakati wa uchagizi na akapititishwa kashfa hizo unazoziona leo kuwa kashfa zitasafisha na utaonekana ni uhodari wa mtu aliyekuwa makini na hodaro ambaye maamuzi yake yalitafsiriwa vibaya.
Sikumbuki kwa namna yoyota ambayo Lowasa amewaki kulaaniwa na Nyerere. Labda hujui maana ya laana. Utaratibu wa chaguzi za enzi za Nyerere umepitwa na wakati. Nani agesimama wakati wa Nyerere na kutamka kuwa anajiandaa kugombea urais? Aliwaaminisha watu kuwa wananchi ndio waliomtaka na sio yeye aliyeutaka urais. Mambo yamegeuka urais ni kazi, kama unaona unafaa, omba.
hofu yangu kuhusu bwana Lowasa na vipaumbale vyake ni kuwa atagombea nafasi gani ikiwa rasimu ya katiba mpya itapita kama ilivyo. maana rais wa muungano hatakiwi kugusa masuala ya maji, elimu, barabara, matibabu n.k.
 
Mkuuu soma vizuri thread ili uielewe, sijasema kama namuelewa vizuri Lowasa. Na sijasema kama atagombea ama hatagombea uraisi. Nilichokisema ni kwamba, kuna mtu anaitwa hussein bashe ameyapotosha yale aliyoyasema lowasa. kwa maaana kama unataka jibu la mtu anayemjua lowasa basi wasiliana na bashe naye atakupa jibu sahihi la iwapo lowasa anagombea ama hagombei kwa kuwa yeye ndiye anayemjua lowasa vizuri na hata kwenye hizo sherehe za mwaka mpya kule monduli alikuwa ameaaaalikwa na lowasa.
Kwa hiyo thread nzima ni juu ya tabia ya Bashe?
Basi hii thred ni non starter, na iko full of semantics zisizo na mashiko.
kinachotakiwa hspa ni in black and white, Lowassa yumo hayumo, vya akina Bashe ni vidagaa visivyo vutia hata samaki sembuse papa.
 
Back
Top Bottom