Acheni kumchafua Husninyo bana......
Husny mbona alishachafuka tangu enzi za uporoto...ila Judgement hajui ndo maana kafa kaoza
hajui huyo
Nasikitishwa sana na kauli za kumchafua Husninyo nazozisoma hapa,napenda kuwajulisha kuwa tumeachana kwa amani na Husninyo sio mapepe wala hana sifa mbaya zote mnazoziorodhesha hapa na muda wote niliyokuwa nae alikuwa na mapenzi ya dhati kwangu.Nawatakia kila la heri na judgement wake,judgement hana kosa kaona nafasi na kuchukua uamuzi wa haraka kama mwanaume rlijali na inawezekana mnaotoa maneno machafu mnachelea kupigwa bao jaribuni sehemu ingine mbona wako wengi tu humu ndani kuweni wabunifu tu.Acheni kumchafua Husninyo bana......
Nasikitishwa sana na kauli za kumchafua Husninyo nazozisoma hapa,napenda kuwajulisha kuwa tumeachana kwa amani na Husninyo sio mapepe wala hana sifa mbaya zote mnazoziorodhesha hapa na muda wote niliyokuwa nae alikuwa na mapenzi ya dhati kwangu.Nawatakia kila la heri na judgement wake,judgement hana kosa kaona nafasi na kuchukua uamuzi wa haraka kama mwanaume rlijali na inawezekana mnaotoa maneno machafu mnachelea kupigwa bao jaribuni sehemu ingine mbona wako wengi tu humu ndani kuweni wabunifu tu.
Sina pingamizi tena kuhusu ndoa ya Husny na JG. Nawatakia kila la kheri ktk ndoda yao. Mi nltaka UP atuhakikishie kuwa wameachana na Husny.
Havee my Blessings Husninyo na Judgement
Hujasoma vizuri hapo juu nimesema tumeachana kwa amani na siku hizi napatikana uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com.Sina pingamizi tena kuhusu ndoa ya Husny na JG. Nawatakia kila la kheri ktk ndoda yao. Mi nltaka UP atuhakikishie kuwa wameachana na Husny.
Havee my Blessings Husninyo na Judgement
Duuuh, sitaki kuamini kuwa hii sredi imefika pg ya 24 khaaa!Hahaaaaa hata mimi sasa sina kipingamizi kabisaaaaaaa
nawapa baraka zoooteee
Hahaha! Shemeji punguza EGO basi...Hujasoma vizuri hapo juu nimesema tumeachana kwa amani na siku hizi napatikana uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com.
Hujasoma vizuri hapo juu nimesema tumeachana kwa amani na siku hizi napatikana uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com.
Hujasoma vizuri hapo juu nimesema tumeachana kwa amani na siku hizi napatikana uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com.
Dah Uporoto uko juu sana....Hujasoma vizuri hapo juu nimesema tumeachana kwa amani na siku hizi napatikana uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com.
Hujasoma vizuri hapo juu nimesema tumeachana kwa amani na siku hizi napatikana uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com.
Duuuh, sitaki kuamini kuwa hii sredi imefika pg ya 24 khaaa!
Heaven forbid!
Hadharani jamani
bila kumung'unya maneno!
Dah Uporoto uko juu sana....
Lol
Uporito@kabakabana duh
Nimeipenda sana
Yaaani duhDuuuh, sitaki kuamini kuwa hii sredi imefika pg ya 24 khaaa!
Vipi hii ?? Ashadii = Husinyo ? niliuziwa mbuzi kwenye gunia ???Mimi nilikua nakupenda jamani.... Dah! Ngoja nijifunze kumpenda Judgement hivo hivo..... lol.... Nitakumiss Kweli kweli. Sidhani kama Judgement atafikia uadilifu wako na heshima kwa familia.....
Mimi nilikua nakupenda jamani.... Dah! Ngoja nijifunze kumpenda Judgement hivo hivo..... lol.... Nitakumiss Kweli kweli. Sidhani kama Judgement atafikia uadilifu wako na heshima kwa familia.....
Mimi nilikua nakupenda jamani.... Dah! Ngoja nijifunze kumpenda Judgement hivo hivo..... lol.... Nitakumiss Kweli kweli. Sidhani kama Judgement atafikia uadilifu wako na heshima kwa familia.....