Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Oooh ! Mpenzi waache wachakachue , mi nafikiri tutoke tupumzike , tukitafakari kuzinduana ! Ungependa tuzinduane lini ? Uwanja wako Mammiy , hapahitajiki Pm hapa , mambo hadhara wasikie vizuri , hasa wale wakodoamijichijo.
sijazoea karaha na mateso ya moyo. Acha nijipumzishe kwa JG
Unaoa wewe ?
Hapa kuna viashiria vya mtu kachanganyikiwa!
Duh Nitonye.....
Mh mapenzi yao yanasuasua sana...nahisi yashakufa ila hajasema tu
Thanx too lovely wifi.... Mpe salam kaka Rejao..Thx my darling wifi nafurahi kwan umegundua namna nilivo mapnzn na ndugu wa mme wangu!shem wangu akija mpe hai,ce tunasogeza mda tutaenda ibada ya ucku lol!
Husny ni kaz yangu toka long tym
Wewe nawe utakuja kusutwa,ndoa za watu zinakuhusu nn wakati mpaka mda hujui mkeo yuko wapi?mtafute Amy bwana jpili hii umpeleke japo bichi!
Bora wifi angu unisaidie kumwambia manake kazidi, anapenda kweli kumsimanga husband, atasababisha mwenzie ajing'ate wakati yupo ibadani khaaa, atasutwa kweli jamani...Wewe nawe utakuja kusutwa,ndoa za watu zinakuhusu nn wakati mpaka mda hujui mkeo yuko wapi?mtafute Amy bwana jpili hii umpeleke japo bichi!
Wewe nawe utakuja kusutwa,ndoa za watu zinakuhusu nn wakati mpaka mda hujui mkeo yuko wapi?mtafute Amy bwana jpili hii umpeleke japo bichi!
Na wajue kuwa majungu sio mtaji kusema uwafanye watajirike lol. Watakufa na kijiba cha roho hawa!mwambie huyo my sist naona hawana mitaji zaidi ya majungu.
we nawe wa wapi?!
Mke wa mtu sumu kaka, usijesema sijakuonya!Amy nipo naye somewhere. Erick atajbeba mwaka huu. Mi naendleza ndondo kama kawa kama dawa.
Thanx too lovely wifi.... Mpe salam kaka Rejao..
Na wajue kuwa majungu sio mtaji kusema uwafanye watajirike lol. Watakufa na kijiba cha roho hawa!
Nishamwambia ila naona hajanielewa, mwache alizwe ndio atajua maana ya rafiki mkia wa fisi....Zimefika my wii,mwambien huyo eric acmwamin sn mtei maana......!
Outwork AKA ndondo.
Usijali swahiba, tindikali bado ipo mpaka jua lizame atakuwa keshapata habari yake...huyu mtei natamani nimwaky
mwambie huyo my sist naona hawana mitaji zaidi ya majungu.