Umeona eeeehHahahahaaha, umeamua kuanza beef na Uporoto? lol
Kumbe una wivu??...naona kazi ya ubodigad inaanza kukushinda!!Duh
Mmeanza eeh
Ngoja nimfuate wangu na mimi.....
Halafu yule anatembea na AK 47 kama ya Malima....Namuonea huruma sana Judgement!
Kuna Kloro pia...naye naona bado hajapata hizi taarifa!!
Tehe tehe....hapa majungu lazima nilidhani nitakuwa wa kwanza kupiga ndondo kumbe mwenzangu umeanza muda mrefu. Sikubali lazima nikuharibie!
Saint Ivunga anaondoka kwa miezi 9..Hahahahaaha, umeamua kuanza beef na Uporoto? lol
Unajua nini kaka, ngoja nikunong'oneze ila usimwambie mtu. Namzimia sana Husninyo ila sasa nashangaa wenzangu wanamchukua kiulaiini, sasa iliyobaki ni kupiga majungu tu...tehe!
Love you baby... Mwaaaaaaaaahhhhh!!
HahahahahaaaaaaaaUnajua nini kaka, ngoja nikunong'oneze ila usimwambie mtu. Namzimia sana Husninyo ila sasa nashangaa wenzangu wanamchukua kiulaiini, sasa iliyobaki ni kupiga majungu tu...tehe!
Kula kitumbua siyo option tena ma dia...Halafu nina hamu sanaaa
Katavi, usiwe na wasi..Erick nimempa kazi ya kunilindia Canta...
Akiharibu tu ndio atamfahamu rejao vizuri...
Aah unajua mtoto huwa namchosha sana so pakikucha inabidi aendelee kuumzika walau hadi saa saba ndo aje....Kumbe una wivu??...naona kazi ya ubodigad inaanza kukushinda!!
Nipo mezani tayari ma dia,,,,nasubiria kitumbua changu!!Orait darling,come this way nikupe cha mchana mme wangu lol!
Hahahahahaaaaaaaa
Katavi hapa sitii neno
teh teh aiseee kumbe mpo wengi....
Lol teh
Itabidi muanzishe Chama Cha Wanaompenda Husninyo (CCWH)
na Mwenekiti uwe wewe, Msaidizi Mtei
Dah! kumbe?? bora umenipa hizi taarifa mapema!Alaa kumbe....!! Ila usimlaumu kihivyo ana historia mbaya ya kutembea na shemeji zake..
DuhAlaa kumbe....!! Ila usimlaumu kihivyo ana historia mbaya ya kutembea na shemeji zake..
Nipo mezani tayari ma dia,,,,nasubiria kitumbua changu!!
Naona erick ananitamania sana!
Hujipendi eeehMimi napga ndondo tu jamani so ctaki kuwa kwenye hcho chama.
Mimi nampenda Amyner tu.
Saint Ivunga anaondoka kwa miezi 9..
Nani anachukua nafasi yake??
Nipo kaka Rejao, nimejaa tele. Naona siku hizi wife kakukataza kusalimia hata dada zako...
Kwema kaka?