kasuku mtu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 321
- 94
Hivi kumbe mwanamke anaruhusiwa kumtafuta mwenyewe mchumba?na sio mwanaume amtafute mwenza anae mfaa...hembu tuliweke sawa hili jamani humu ndani....nawasilisha.
Nina
miaka 26 Nimeajiliwa serikalini dini christian natokea ngara kwa sasa
niko Dar nataka mume awe christian mtanashati na mwenye mapenzi ya kweli
Kumbe we shida yako ilikua umuonje utamu tu mkuu WAVISA??
Samahani bana, sikujua aisee.
Nina
miaka 26 Nimeajiliwa serikalini dini christian natokea ngara kwa sasa
niko Dar nataka mume awe christian mtanashati na mwenye mapenzi ya kweli
Nina
miaka 26 Nimeajiliwa serikalini dini christian natokea ngara kwa sasa
niko Dar nataka mume awe christian mtanashati na mwenye mapenzi ya kweli