Huruma hii inatoka wapi?

Hivi una kitu iliyo butu kwanini umgegede?
 
Kwahiyo kama humuelewi unataka sisi tumuelewe tusiyemfahamu?
 
Sijui nikuteje manaake ndo mnaochangia tuitwe wanaume suruali au na wewe ni wa dar
 
Mtoto wa kiume unahongwa hivyo
 
Kweli upele humuota asiye na kucha, wahenga walisema
 
baki hapohapo keshakupenda huyo subiri hatua zaidi zitafata
 
Mtihani ,unaongezeawa hela mda wote huo mtoto wakiume unachukua tuuu,unaongezewa una chukua tuu,bado miezi kadha utaanza kurejesha na faida,mtoto wakiume usikubali kubali kirahisi tuu upewe hasa pesa je kama anatumwa na mtu mwengine akupe? ebu fanya utafiti haraka iwezekanavyo...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…