Natembea na kipande cha mkaa ndimu na kitunguu saumu.... Inaitwa triple actionmshana jr;
Chunga sana asubuhi watu wasije kukuomba chenji. Ukilogwa tu ukampa. jioni huna mia hapo
2% Mkuu. Huku kwetu mambo si mambo 'Ukata- unakumbuka hili neno??
DemiMshana naomba elf kumi..
Haha mko makinimshana jr umetuibia, mbona Risit imeandikwa tarehe 9 August 2017? Huu ni mshahara au marupurupu?
Yes..Demi
Natembea na kipande cha mkaa ndimu na kitunguu saumu.... Inaitwa triple action
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho mpe Mia tano za noti ulizokata vichungimshana jr
Nipe mchanganuo wa action hii nimkomeshe huyu mmama hapa jirani. Yaani, saa 12 asubuhi ati anaomba chenji awape watoto nauli za kwenda shule. Usipompa, hatoki hapo anahesabu mapene uliyopokea hapo dirishani kisha maneno sasa! Ooh, wadhani mimi mchawi, wadhani nina hata zongo, wadhani ninaloga, wadhani miye chuma ulete.. yaani hadi kero. Nipe hiyo combi nimmalize
Sijakuelewa mkuu. Zikoje hizo??
Unakata kidogo kwenye pembe za noti... Kama anachawia hatazichukua wachawi hawachukui vitu visivyotimiaSijakuelewa mkuu. Zikoje hizo??
Uko gud mama?Yes..
Haha nimedadavua recept 9/8/2017 it seems hiyo ela kuna mtu alinasa apo akaleta vijisenti hivyo na kuku mweupe chweee!!..