Asinge bend kidogo ndo tungeuona ukweli halisi......
Sasa mkuu mbona hapo hata alivyo bend wala haija mwongezea hizo credit, hapo hata akaeje, yuko vizuri
Wallah uzuri wa nyumba ya kupanga chooo...na ujuwe kukitumia..sio kipoo wee wajisaidia vichochorooooni
Hivi wanaume wenzangu,mwanamke akiwa na shepu kama hii inasaidia nini wakati wa majambozi?Maana naona tu watu wanasifia ila sijui hizi sifa zinatumika wakati gani,au shepu tu ya kuwakoga wanaume wengine?