Hunter hunted - Simba agonga mwamba kwa nyati

Safi sana nawaaminia wanyama hawa,hata akifa anakufa kwa kupambana sio kama minyumbu!!!
 
aisee ametia huruma huyo simba......
 
Kweli nyati noma.. Angekuwa na meno na kucha kama za simba hawa wanyama wangekuja mjini kutufanyia fujo.
 
mara nyingi simba akitaka kumkamata nyati huwa zaidi ya simba 2, akiwa simba 1 nyati mara nyingi hushinda pambano
 
Mara nyingi jeuri ya Simba kwa Nyati ni lazima Simba wawe wengi . Ikitokea One to one encounter Simba atapata kibano tu kwa Nyati
 
Kuna mengi tunaweza kujifunza kama binadamu hapa.
Cha kusikitisha (kufurahisha?) ni kuwa simba huyu alikufa baada ya siku mbili na nyati alikufa baadae kutokana na infection zilizotokana na majeraha.
 
Ingekuwa bomba sana kama ingekuwa muvi.... hapo ni survival for the fittest pamoja na predator/prey relationship, hakuna wa kumwonea huruma mwenzie maana hata simba atakufa kama hapati nyama.
 
From the looks of the lion, It looks young, inexperienced and impoverished.
kwa kawaida simba ha attack mnyama mkubwa kumliko kutoka kwa mbele.
Huwa wanatumia strategy ya ambush au power in numbers.
Huyu aliingia cha kike.
I wish ningelikuwepo kushuhudia hii.
 
Kuna mengi tunaweza kujifunza kama binadamu hapa.
Cha kusikitisha (kufurahisha?) ni kuwa simba huyu alikufa baada ya siku mbili na nyati alikufa baadae kutokana na infection zilizotokana na majeraha.

Mbona huyo simba ni kama ameshadanja hapo.
 
natoa dola 100 mwenye hii video anitumie what's up
 
Mbona iyo ni kawaida tu..
Simba kibao.wanauawa na nyati.
Video zpo nyng tu Youtube.
Huyo ana bahati kafa vizuri,kuna video moja simba ameingia katikati ya nyati kama 200.
Wakaanza kumrusha juu na kumtifua kisawasawa na mapebe yao mpaka mwisho wa siku simba kawa vipande vipande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…