HUNGER IN KENYA: Poor planning and inaction to blame for food insecurity

Sasa ona yule mtu aliyesema "nawapenda wakenya na naipenda Kenya" akisema mambo yakukanusha vile alivyosema .Haya nenda uwaambie wale foreigners wengi wamefanya Nairobi makao yao ati maisha ni mabaya sana kule .
Daah bro umeshinda ngojea nilale.
 
Yani unakuja kujisifu na ksh70 eti unakula milo miwili kw siku...duh!!hta ma konda hku hyo pesa haiwatoshi...ndo manake mishahara yenu midogo...


Sasa chukua hyo hela uende south africa uone km utakula nn before nikutajie marekani
Makahaba kila sehem wapo na omba omba kila sehem wapo.
All at all Tz kuna maisha simple sana ambayo yanamfaa yeyote sio maisha kandamiz km ya Kenya mpk kutembeleana mpeane appointment
Tz hamna hzo vtu.
Hata ninyi kuna majambaz na majiz ya kikenya tumeyafunga huku.

Kwa kujifanya kwenu life juu ndio maana wengi wenu hushindwa ku afford maisha nzuri sio km sisi maashaallaah tunapata maisha manzuri kiurahiiiisi na bei nafuu.
1500 tsh mm nala kwa siku milo miwili mizuri nashiba kenya sasa kudaddaakeee ni different.
 
Yani unakuja kujisifu na ksh70 eti unakula milo miwili kw siku...duh!!hta ma konda hku hyo pesa haiwatoshi...ndo manake mishahara yenu midogo...


Sasa chukua hyo hela uende south africa uone km utakula nn befire nikutajie marekani
Mm nazungumzia Tz kuwa life lake ni cheap unapata utakacho kwa bei rahisi.
Hilo ndio life buddah.
Yani kwa hzo 70 ksh unaishi fresh kwa siku simple but sure.
Nambie wap unaweza ishi kwa raha hv zaidi ya TZ???!!!!
Ndio maana maskin wa Tz ana survive daily na kufurahia maisha kwa unafuu wake sio km huko Kenya maskin ana bonge gap la kupata mahitaji.
 
Hii kufurahia maumivu ya mwenzio kabisa.

Wewe Ummayed , Redeemer , Joto la Kifo ,Giza Ulale ,Babayao225,Eliakeem nyie wote ni sadists ,psychopaths and sociopaths kabisa .Nyie wote mnapenda giza ,unyama na kifo zinawafurahisha sana especially ikitokea Kenya.

Sasa unataka kusema, hawa watu uliowataja ndiyo wanaosababisha HUNGER IN KENYA????
 
Sasa ona yule mtu aliyesema "nawapenda wakenya na naipenda Kenya" akisema mambo yakukanusha vile alivyosema .Haya nenda uwaambie wale foreigners wengi wamefanya Nairobi makao yao ati maisha ni mabaya sana kule .

kWA HIYO, KENYA NI YA FOREIGNERS. BADALA YA KUONGELEA MAISHA YA MTU MZAWA, MKENYA, UNALETA HABARI ZA WATU AMBAO SIKU ZOTE WANAFIKIRIA KUIRUDISHA NYUMA AFRIKA.
 
Nadhani kama Kenya wao wanajali mazao ya biashara zaidi,hii ni kuitazama kama fursa kwa Tz kuzalisha ‘mazao ya biashara’ ya kuiuzia Kenya yakiwa yameongezwa thamani tu.Badala ya kutupiana kejeli,nadhani bora na vema zaidi kuiangalia kama fursa ilimradi iwe na maslahi kwa Tz...'win win on both sides' kama ilivyozoewa kutamkwa.

Uchumi wa dunia ya leo ni wa kuangalia sana gharama.Kama kilimo cha hizo bidhaa huko Kenya ni ghali au ardhi haikidhi, vema kununua toka Tz(ama popote panapowafaa na wapaonapo ni rahisi).Si jambo baya.Cha msingi pesa ya kununulia iwepo tu.Hata makampuni makubwa ama hununua baadhi ya parts za tools/mashine zao toka nchi zingine (hata kama wangeweza kuzalisha wao,ila wakiona gharama itakuwa kubwa).Na hata pia huweza kuamua kufungua viwanda vyao kwenye nchi zingine,ilimradi kushusha gharama za uzalishaji na hatimae kuongeza faida yao.

Kama sikosei,ardhi ya kufaa kwa kilimo na yenye rutuba kwa Kenya, kwa kiasi kikubwa ilishawahiwa na walioiwahi,ambao nao hujizalishia wanavyoona vitawapa faida kubwa zaidi.

Kwenye shida ya nchi jirani yoyote,iwe imesababishwa na sababu yoyote ile,kama inafaa,ndio wakati mwafaka wa kuiangalia kama fursa,ambayo,si ajabu mbeleni ikazalisha na fursa zingine bora zaidi.
 
Nadhani kama Kenya wao wanajali mazao ya biashara zaidi,hii ni kuitazama kama fursa kwa Tz kuzalisha ‘mazao ya biashara’ ya kuiuzia Kenya yakiwa yameongezwa thamani tu.Badala ya kutupiana kejeli,nadhani bora na vema zaidi kuiangalia kama fursa ilimradi iwe na maslahi kwa Tz...'win win on both sides' kama ilivyozoewa kutamkwa.

Uchumi wa dunia ya leo ni wa kuangalia sana gharama.Kama kilimo cha hizo bidhaa huko Kenya ni ghali au ardhi haikidhi, vema kununua toka Tz(ama popote panapowafaa na wapaonapo ni rahisi).Si jambo baya.Cha msingi pesa ya kununulia iwepo tu.Hata makampuni makubwa ama hununua baadhi ya parts za tools/mashine zao toka nchi zingine (hata kama wangeweza kuzalisha wao,ila wakiona gharama itakuwa kubwa).Na hata pia huweza kuamua kufungua viwanda vyao kwenye nchi zingine,ilimradi kushusha gharama za uzalishaji na hatimae kuongeza faida yao.

Kama sikosei,ardhi yenye rutuba kwa Kenya, kwa kiasi kikubwa ilishawahiwa na walioiwahi,ambao nao hujizalishia wanavyoona vitawapa faida kubwa zaidi.

Kwenye shida ya nchi jirani yoyote,iwe imesababishwa na sababu yoyote ile,kama inafaa,ndio wakati mwafaka wa kuiangalia kama fursa,ambayo,si ajabu mbeleni ikazalisha na fursa zingine bora zaidi.

Ndugu zetu tunawapenda, hatuwezi kuwafanya fursa, kwa sababu tu wana uhitaji wa chakula. Mipango inafanyika ya kuhakikisha wanapata unga wa ugali wa kutosha kabisa.
 
Mh.Sidhani kama kitatolewa cha bure na nadhani mchakato wa kuwauzia ulishaongelewa na ukaanza kutekelezwa.Si kila shida ni ya kubebana kwa mbeleko.Wao wana viwanda vingi sana na Tz kwa kiasi kikubwa sana ni wanunuzi kwa wingi wa bidhaa za Kenya.Hawaleti tu sababu hakuna viwanda vya kutosha Tz,bali wanajua twahitaji hizo bidhaa na kwao na kwa baadhi ya waTz, hiyo ni fursa ya biashara.
Tunanunua mpaka chili souce ya pale Kariobongi,kwa Baba Dogo,Nairobi.
Uhitaji wa chakula si kumaanisha wanakosa pesa ya kulipia
Fursa hutokea pakiwa na shida ama uhitaji kwa yaliowakuta.Fursa si mara zote hukidhiwa kwa misaada.
 
Ndugu zetu tunawapenda, hatuwezi kuwafanya fursa, kwa sababu tu wana uhitaji wa chakula. Mipango inafanyika ya kuhakikisha wanapata unga wa ugali wa kutosha kabisa.
Unafiki wa hali ya juu huu! Hatuhitaji vyakula vyenu. Wapeni wala kinyesi wa bukoba na wala viwavi jeshi wa Dodoma.
 
Dunia nzima inatambua watanzania ni wakarimu,
Mngekuwa mnalima njaa isingekuwa inawachapa daily,
Failed state.
Mdanganyika na ukarimu wapi na wapi? Serikali ya Kenya inanunua hayo mahindi yenu magonjwa. Hampeani bure. Na aliyewadanganya kwamba Kenya hakuna wakulima......Wadanganyika kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom