babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,123
- 27,230
Wacha tukutag kwa hii kwanza.
Anacheka amekula uyu? asije akatufiaNa pia tuikomboe ATCL vile tulikomboa kule Canada I love the comedy that Tz is.
Nakwambia...Hakuna kitu kibaya kama njaa
Nakwambia...
Watu wanakula kinyesi na wengine viwavi... Si jambo la kuchekana
Imekamilika by the way?Nitaku tag kama nilivyofanya kwenye SGR.
😛😝😂🤣😁
The low quality detritus mnayojenga kwa pesa zenu yet you can't pay mkulima's debt? Uhuru atawapa donation Mara ya tanoNitaku tag kama nilivyofanya kwenye SGR.
😛😝😂🤣😁
Sidhani kama kuna MTU amewahi kufa njaa Kenya. Unaweza kaa for two weeks without eating bora tu unywe maji. Consider turkanas, wana mifugo lakini wapo radhi kufa njaa kuliko kuwachinja wawale Hosea 4:6 my ppoMwambie uhuru kwamba aende kwanza aka donate kule wajir wanakokufa njaa. Au kule siyo Kenya?
Sidhani kama kuna MTU amewahi kufa njaa Kenya. Unaweza kaa for two weeks without eating bora tu unywe maji. Consider turkanas, wana mifugo lakini wapo radhi kufa njaa kuliko kuwachinja wawale Hosea 4:6 my ppo
Bro not two ten people reportedly dead in Turkana.2 people at wajir reportedly dead.
Pale Kibaha sio? Mshatandaza Hadi Pugu? Picha tafadhali.Ulisema one centimetre, lkn sasa tunatest locomotives.
Kupanda mti?Stay tuned brother. You will soon get invited kupanda from Dar to Moro.
JF sitoki nimecheka sana.HAHHAHAHAHAAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHA.
DAAH ASEE YOU PEOPLE REALLY MAKING UP MY DAYS ALWAYS!!!!!!!!!
Kuna kabila lao hawa washikaji wanajiita KALENJINS kuna mmoja nilimpata kwa social media FB akawa akijitapa mzuuriii ila anakuja kunirushia pic zakeee!!!!!
Ana sura kamma ubao wa supu ana komwe kama buti la teja halafu nywele zimeanzia utosini.
HII NIKAIWEKA KAT YA MAAJABU 12 YA DUNIA ikitanguliwa na kibela slums human nation park.