joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
1)Deni la Kenya ni Mara tatu ya TanzaniaBajeti ya Kenya ni mara mbili ya bajeti ya Tanzania. Tuanzie hapo wadau. Povu ruhksa
2)Unemployment Kenya ni Mara mbili
3)Inflation ni Mara mbili ya TZ
4)Gap between rich and poor ni Mara 2
5) Gharama ya maisha ni Mara 2.