Nimeona si vyema kama sintowajulia hali members wenzangu, wanafamilia wangu, samahanini kama nitakuwa naandika upuuzi kabla hamjaanza kunishushia michambo
Tokea nimejiunga humu kwenye majukwaa ya jamii, naweza sema kwa asilimia 80 mawazo yamepungua, imekuwa ni sehemu ya kutulizia akili, kwa sababu utaingia humu ndani utakutana na visa vya hapa na pale, istoshe ni mahali ambapo watu hatufahamiani kwa ukaribu lakini tunaishi kindugu, tunakwazana kwenye uzi mmoja, tunaenda kupatana kwenye uzi mwingine
Tunaishi pasipo kufahamiana, lakini kupitia mchango na mawazo ya mtu, unakuwa tayari ushajenga taswira ya mhusika, mzabzab ni kama vile namuona mpaka tabia maake si kwa jinsi anavyoreply nyuzi za watu, ni kana kijana mwongeaji, mwembamba, mcharuko anaependa kumchangamkia kila dada, kila mke wa mtu
Kama namuona Sky Eclat kama mama ambaye hucheka na wanae wawili akitoka kazini huku kawabebea vijizawadi, ni mtu wa kuhasa na kutoa ushauri kwa watu hususan wanawake, namuona ni mnene wa size, mrefu kidogo
Namuona pia DeepPond kama baba ambaye ni mcheshi kwenye familia yake ila yuko makini na simu yake mfukoni akihofia mkewe kutofumania sms za mama J
Nafurahi pia kuwaona mashost zangu wakina to yeye cocastic Depal financial services binti kiziwi na wengine wengi jinsi wanavyoishi kama majirani waliopanga nyumba moja, mara chache kutomkuta cocastic kwenye uzi aliochangia to yeye, nawapenda sana
Ila kuna hawa man biznes na mpwayungu village ee mola wasaidie watoto wa watu, ni kama rika yangu hivi, si kwa utoto jamani walionao napenda sana kusoma nyuzi zao, wanatengeneza uzi nyingi, very funny, napenda sana chai zenu, mna vipaji, keep it up mje mtuuzie vitabu siku moja natamani tuonane siku moja
Ni wengi tu mnaolifanya jukwaa kuwa la moto, nitawaelezea zaidi wengine kwenye huu uzi
Najihisi furaha kuifahamu jamii forums, mahali ambapo moyo wangu husuuzika napoteza mawazo, nakuwa mpya
Asanteni sana, Mungu awabariki katika majukumu yenu ya hapa na pale, nawapenda nyote
rikiboy Extrovert Bujibuji Simba Nyamaume Smart AJ Smart911 Kunguru wa Manzese Mtoto halali na hela @
Tokea nimejiunga humu kwenye majukwaa ya jamii, naweza sema kwa asilimia 80 mawazo yamepungua, imekuwa ni sehemu ya kutulizia akili, kwa sababu utaingia humu ndani utakutana na visa vya hapa na pale, istoshe ni mahali ambapo watu hatufahamiani kwa ukaribu lakini tunaishi kindugu, tunakwazana kwenye uzi mmoja, tunaenda kupatana kwenye uzi mwingine
Tunaishi pasipo kufahamiana, lakini kupitia mchango na mawazo ya mtu, unakuwa tayari ushajenga taswira ya mhusika, mzabzab ni kama vile namuona mpaka tabia maake si kwa jinsi anavyoreply nyuzi za watu, ni kana kijana mwongeaji, mwembamba, mcharuko anaependa kumchangamkia kila dada, kila mke wa mtu
Kama namuona Sky Eclat kama mama ambaye hucheka na wanae wawili akitoka kazini huku kawabebea vijizawadi, ni mtu wa kuhasa na kutoa ushauri kwa watu hususan wanawake, namuona ni mnene wa size, mrefu kidogo
Namuona pia DeepPond kama baba ambaye ni mcheshi kwenye familia yake ila yuko makini na simu yake mfukoni akihofia mkewe kutofumania sms za mama J
Nafurahi pia kuwaona mashost zangu wakina to yeye cocastic Depal financial services binti kiziwi na wengine wengi jinsi wanavyoishi kama majirani waliopanga nyumba moja, mara chache kutomkuta cocastic kwenye uzi aliochangia to yeye, nawapenda sana
Ila kuna hawa man biznes na mpwayungu village ee mola wasaidie watoto wa watu, ni kama rika yangu hivi, si kwa utoto jamani walionao napenda sana kusoma nyuzi zao, wanatengeneza uzi nyingi, very funny, napenda sana chai zenu, mna vipaji, keep it up mje mtuuzie vitabu siku moja natamani tuonane siku moja
Ni wengi tu mnaolifanya jukwaa kuwa la moto, nitawaelezea zaidi wengine kwenye huu uzi
Najihisi furaha kuifahamu jamii forums, mahali ambapo moyo wangu husuuzika napoteza mawazo, nakuwa mpya
Asanteni sana, Mungu awabariki katika majukumu yenu ya hapa na pale, nawapenda nyote
rikiboy Extrovert Bujibuji Simba Nyamaume Smart AJ Smart911 Kunguru wa Manzese Mtoto halali na hela @