Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 58,953
- 132,556
- Thread starter
- #21
Wanabodi,
Mwanzo nilimnote huyu Mjumbe wa Tume ya Warioba kwa kuvaa kama Nyerere!, kisha nikanote ana umbo kama la Nyerere!, leo nimemsikiliza anaongea live on Channel mpaka saa hii, anaongea kama Nyerere!.
Japo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarange Nyerere hayupo nasi!, lakini Nyerere bado yupo na sasa anaongea kupitia Humprey Polepole!.
Msikilize!.
Pasco.
Naunga mkono hojaKama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.
Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.
Wazungu husema "Save the best for the last"
- Humprey Polepole: Kinachoendelea BMK is Not Right", Live on Ch.10
- Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?
- Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ss
P