Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 58,934
- 132,476
Wanabodi,
Mwanzo nilimnote huyu Mjumbe wa Tume ya Warioba kwa kuvaa kama Nyerere!, kisha nikanote ana umbo kama la Nyerere!, leo nimemsikiliza anaongea live on Channel mpaka saa hii, anaongea kama Nyerere!.
Japo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarange Nyerere hayupo nasi!, lakini Nyerere bado yupo na sasa anaongea kupitia Humprey Polepole!.
Msikilize!.
Pasco.
Rejea za mtoa mada kumhusu
Humphrey Polepole
Mwanzo nilimnote huyu Mjumbe wa Tume ya Warioba kwa kuvaa kama Nyerere!, kisha nikanote ana umbo kama la Nyerere!, leo nimemsikiliza anaongea live on Channel mpaka saa hii, anaongea kama Nyerere!.
Japo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarange Nyerere hayupo nasi!, lakini Nyerere bado yupo na sasa anaongea kupitia Humprey Polepole!.
Msikilize!.
Pasco.
Rejea za mtoa mada kumhusu
Humphrey Polepole
- Humprey Polepole: Kinachoendelea BMK is Not Right", Live on Ch.10
- Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
- Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?
View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ss?si=uqFefhMJWpSkVgRR msikilize hapa anavyoongea kama Mwalimu Nyerere!- Ushauri Balozi HP: Ukiongoka, Kujitenga na Uovu na Kusema Ukweli, Sema Ukweli Wote Sio Ukweli Nusu Nusu!. Jitenge Jumla Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!
- GE2025 - Polepole: Shujaa, Mzalendo wa Kweli Kama Nyerere, Kang'atuka Kama Nyerere!, Amesema Ukweli Nusu!, Je Atoe Mguu Nje Aseme Ukweli Wote, Apewe Maua Yake?
- GE2025 - Alichokifanya Polepole, Kumbe Sio yeye!, Ni Ule Mwanga!, Sasa Anatakiwa Kusimama Pembeni Mazima na Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!. YEYE ATATENDA!.
- GE2025 - Polepole ni muda wa kujitoa mwenyewe CCM kabla hujafukuzwa, utaheshimika zaidi!
- Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini
- GE2025 - Ushauri wa Bure kwa Balozi Polepole, Usitatizwe na Wahuni!, Rais wa TZ 2025 Hawekwi na Wahuni, CCM au Watanzania, Anawekwa na YEYE Pekee!. Jinyamazie!
- GE2025 - Polepole ni muda wa kujitoa mwenyewe CCM kabla hujafukuzwa, utaheshimika zaidi!