Mheshimiwa Humphrey Pole pole Nakuomba uwe unakuwa punctual kuwajibu WANAFIKI sampli ya mzee wetu Kingunge wanapojitokeza hadharani na KUDHARAU juhudi zenu wakati wa kukusanya maoni kupitia tume ya katiba ya jaji Warioba.
Tusiwape nafasi WANAFIKI hata kama wanauhuru wa kutoa Maoni yao ni vema wawe wakweli na si watu vugeugeu wanaopotosha jamii nakutaka tuwaamini.
Tuwadhibiti WANAFIKI mapema kwani waliipinga katiba pendekezwa.
Tusiwape nafasi WANAFIKI hata kama wanauhuru wa kutoa Maoni yao ni vema wawe wakweli na si watu vugeugeu wanaopotosha jamii nakutaka tuwaamini.
Tuwadhibiti WANAFIKI mapema kwani waliipinga katiba pendekezwa.