S Swat JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 4,201 Reaction score 2,002 Aug 27, 2014 #41 Huyu Polepole ana akili Sana. Nimemsikiliza. Hofu yangu asijepewa vijihela akatekwa Na nyinyiem!
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,900 Reaction score 28,012 Aug 27, 2014 #42 Haka kajaa kako smart sana..
Mganji Member Joined May 25, 2011 Posts 74 Reaction score 37 Aug 27, 2014 #43 mmaranguoriginal. said: huyu jamaa anatafuta ubunge chadema,anakosoa sana ccm ambayo imemsomesha na kumlea mpaka hapo alipofika leo anaungana na genge la hawa wahuni wa ukawa Click to expand... Mtu akiwa na uwezo wa kuchambua mambo vizuri na mkaelewa mnakimbilia kusema ni chadema! Ebu punguzeni kuwapa sifa chadema bwana
mmaranguoriginal. said: huyu jamaa anatafuta ubunge chadema,anakosoa sana ccm ambayo imemsomesha na kumlea mpaka hapo alipofika leo anaungana na genge la hawa wahuni wa ukawa Click to expand... Mtu akiwa na uwezo wa kuchambua mambo vizuri na mkaelewa mnakimbilia kusema ni chadema! Ebu punguzeni kuwapa sifa chadema bwana
Issa Daudi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 289 Reaction score 20 Aug 27, 2014 #44 MGANJI nahisi wanaamini kila mwenye uwezo mzur ni chadema,sio kweli kwanza mtu kama huyo mpe stahiki yake then usimchgulie chama
MGANJI nahisi wanaamini kila mwenye uwezo mzur ni chadema,sio kweli kwanza mtu kama huyo mpe stahiki yake then usimchgulie chama