mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,698
- 9,051
huyu jamaa anatafuta ubunge chadema,anakosoa sana ccm ambayo imemsomesha na kumlea mpaka hapo alipofika leo anaungana na genge la hawa wahuni wa ukawa
Akili za chura hizo ccm walitoa hela wapi kama sio kodi za wananchi???ccm wana hela gani kama sio kodi za wananchi?fikiri kwa kutumia akili kidogo mkuu