Humphrey Polepole: Kuna Wabunge wengine wawili wa CHADEMA kuhamia CCM muda wowote

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole, akihutubia Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo Mjini Tarime tarehe 29.07.2018, alidai kuwa, kuna Wabunge wawili wanatarajia kuhamia CCM, muda wowote. Aliongezea kuwa, Madiwani wanaoomba kuhamia nao idadi yao ni kubwa.
IMG_5669.jpg


Jana tarehe 30.07.2018, Mbunge wa Monduli kupitia CHADEMA, Julius Kalanga alihamia CCM, hivyo amebaki Mbunge mmoja asiyejulikana. Ni nani huyo anayefuatia?
Je, kuna kitu CHADEMA walimkosea Rais Magufuli?
Wachambuzi wa Siasa wanadai, Approach mbovu ya CHADEMA ya kumkosoa vikali Rais Magufuli huku wakipinga kila kitu mbele za jamii, ndiyo chanzo kikubwa cha wao kupata tabu sana.
Nina uhakika endapo CHADEMA itaacha Approach yao ya kupinga kila kitu cha Serikali na kuacha kumkebehi Rais Magufuli, hawataweza kukimbiwa na Wabunge na Madiwani wao.
Mwenye nguvu mpishe, otherwise mtaendelea kupoteza posho za Chama kila Mwakilishi wenu anapohama.
 
Hizi filamu zipo Tanzania tu !

Hata huko Marekani kwenye uchu wa maendeleo hili hakuna.

Watu hujiunga na vyama kabla ya uchaguzi ili kuomba nafasi ya kuwakilisha wananchi. Awamu hii wanajiunga baada ya kuchaguliwa ili uchaguzi urudiwe tena.

Unahama kwako ili ukaunge mkono kiongozi wa CCM, kwanini hili hukuliona kabla ya kuchaguliwa ukaenda huko mapema ili kuepuka gharama ?

Je huko CCM hakuna watu wa kutosha kumuunga mkono huyo jamaa ?

Unajiunga na CCM ili aliyeko CCM atumbuliwe na nafasi yake upewe wewe.

Kurudia uchaguzi wa diwani mmoja ni takriban Tshs milioni 600. Na kwa uchaguzi wa mbunge mmoja ni bilioni moja na point kodi za Watanzania.

Huku kuwazihaki Watanzania ambao CCM huwaita vilaza, mafala.

Je kiongozi wa CCM hawezi kuwaunganisha Watanzania wakiwa katika vyama tofauti kwa sababu tu ya tofauti za kiitikadi ?

Je siku watanzania wote wakihamia CCM je ataweza kuwaunganisha wakiwa kwenye makabila tofauti na dini zenye itikadi tofauti ?

Tayari kuna malalamiko ya udini na ukabila..
Watanzania wengi sasa hivi ukiacha wale ccm wanaoishi kwa kodi zetu, wanaishi maisha magumu.

Movie liendelee !
 
Hizi filamu zipo Tanzania tu !
Hata huko Marekani kwenye uchu wa maendeleo hili hakuna..
Watu hujiunga na vyama kabla ya uchaguzi ili kuomba nafasi ya kuwakilisha wananchi. Awamu hii wanajiunga baada ya kuchaguliwa ili uchaguzi urudiwe tena..
Unahama kwako ili ukaunge mkono kiongozi wa CCM, kwanini hili hukuliona kabla ya kuchaguliwa ukaenda huko mapema ili kuepuka gharama ?
Je huko CCM hakuna watu wa kutosha kumuunga mkono huyo jamaa ?
Unajiunga na CCM ili aliyeko CCM atumbuliwe na nafasi yake upewe wewe..
Kurudia uchaguzi wa diwani mmoja ni takriban Tshs milioni 600. Na kwa uchaguzi wa mbunge mmoja ni bilioni moja na point kodi za Watanzania..
Huku kuwazihaki Watanzania ambao CCM huwaita vilaza, mafala..
Je kiongozi wa CCM hawezi kuwaunganisha Watanzania wakiwa katika vyama tofauti kwa sababu tu ya tofauti za kiitikadi ?
Je siku watanzania wote wakihamia CCM je ataweza kuwaunganisha wakiwa kwenye makabila tofauti na dini zenye itikadi tofauti ?
Tayari kuna malalamiko ya udini na ukabila..
Watanzania wengi sasa hivi ukiacha wale ccm wanaoishi kwa kodi zetu, wanaishi maisha magumu..
Movie liendelee !
Mtu anaesifu hama hama ni wa ajabu sana.Mimi sio CHADEMA ila SIIKUBA HII HASARA
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole, akihutubia Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo Mjini Tarime tarehe 29.07.2018, alidai kuwa, kuna Wabunge wawili wanatarajia kuhamia CCM, muda wowote. Aliongezea kuwa, Madiwani wanaoomba kuhamia nao idadi yao ni kubwa.
View attachment 823290

Jana tarehe 30.07.2018, Mbunge wa Monduli kupitia CHADEMA, Julius Kalanga alihamia CCM, hivyo amebaki Mbunge mmoja asiyejulikana. Ni nani huyo anayefuatia?
Je, kuna kitu CHADEMA walimkosea Rais Magufuli?
Wachambuzi wa Siasa wanadai, Approach mbovu ya CHADEMA ya kumkosoa vikali Rais Magufuli huku wakipinga kila kitu mbele za jamii, ndiyo chanzo kikubwa cha wao kupata tabu sana.
Nina uhakika endapo CHADEMA itaacha Approach yao ya kupinga kila kitu cha Serikali na kuacha kumkebehi Rais Magufuli, hawataweza kukimbiwa na Wabunge na Madiwani wao.
Mwenye nguvu mpishe, otherwise mtaendelea kupoteza posho za Chama kila Mwakilishi wenu anapohama.

Hapo kwenye "Red". Hivi uko serious kweli? Wanaopata tabu ni Watanzania wote bila kujali chama!!!! ???
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole, akihutubia Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo Mjini Tarime tarehe 29.07.2018, alidai kuwa, kuna Wabunge wawili wanatarajia kuhamia CCM, muda wowote. Aliongezea kuwa, Madiwani wanaoomba kuhamia nao idadi yao ni kubwa.
View attachment 823290

Jana tarehe 30.07.2018, Mbunge wa Monduli kupitia CHADEMA, Julius Kalanga alihamia CCM, hivyo amebaki Mbunge mmoja asiyejulikana. Ni nani huyo anayefuatia?
Je, kuna kitu CHADEMA walimkosea Rais Magufuli?
Wachambuzi wa Siasa wanadai, Approach mbovu ya CHADEMA ya kumkosoa vikali Rais Magufuli huku wakipinga kila kitu mbele za jamii, ndiyo chanzo kikubwa cha wao kupata tabu sana.
Nina uhakika endapo CHADEMA itaacha Approach yao ya kupinga kila kitu cha Serikali na kuacha kumkebehi Rais Magufuli, hawataweza kukimbiwa na Wabunge na Madiwani wao.
Mwenye nguvu mpishe, otherwise mtaendelea kupoteza posho za Chama kila Mwakilishi wenu anapohama.
Halafu anaona sifa kufuja kodi zetu kurudia chaguzi. Kuna siku ina kuja atalipa yote haya.
 
Back
Top Bottom