troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,429
- 2,262
Akihojiwa katika kipindi cha ajenda na Mtangazaji Mtozi Nyanda amesema bandari ya Bagamoyo si muhimu kuliko bandari ya Dar na Tanga.
Kazungumzia katiba mpya na kasema haipingi usipokuwa kuna maangalizo matatu kayatoa yazingatiwe kabla ya kuiandika katiba mpya.
Pia ametumia tahadhali sana katika uwasilishaji wa maoni yake kuhusu bwawa la umeme la JNHP, amesema ni lazima likamilike.
Kagusia kuhusu kukosekana kwa crane ya kubeba milango ili bwawa lijazwe maji ni kwamba kwa mradi huo crane ni Minor things,pesa iliyowekezwa ni nyingi sana crane sio issue kabisa.
Kasema japo si moja kwa moja, yakwamba kuna wahuni wanashirikiana na mabeneru kuhujumu mradi huo,kwani mradi huo ulipingwa kwa nguvu nyingi sana mwanzoni mwa mchakato wake
Kazungumzia katiba mpya na kasema haipingi usipokuwa kuna maangalizo matatu kayatoa yazingatiwe kabla ya kuiandika katiba mpya.
Pia ametumia tahadhali sana katika uwasilishaji wa maoni yake kuhusu bwawa la umeme la JNHP, amesema ni lazima likamilike.
Kagusia kuhusu kukosekana kwa crane ya kubeba milango ili bwawa lijazwe maji ni kwamba kwa mradi huo crane ni Minor things,pesa iliyowekezwa ni nyingi sana crane sio issue kabisa.
Kasema japo si moja kwa moja, yakwamba kuna wahuni wanashirikiana na mabeneru kuhujumu mradi huo,kwani mradi huo ulipingwa kwa nguvu nyingi sana mwanzoni mwa mchakato wake