Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Mkuu wa wilaya na katibu wa itikadi na uenezi ccm.
Viwili vipi kama kitu uijui bora ukae kimyaAna vyeo viwili? Na huku wengine hawana ajira... Kama ni muungwana aachie tu kimoja...
Huyu Mungu mnamfanyia dhihaka sana. Hili la Polepole pamoja na sifa mnazompa, ni sawa na Askofu Mokiwa aamue kujiunga na ile jumuia ya Gamboshi (wachawi) kisha mseme Mungu atamsimamia atende yaliyo mema akiwa huko.Tunamtakia kila la kheri katika nafasi yake hiyo,Mungu amsimamie na kumuongoza.
Kupata katiba nzuri si mwarobaini wa unacho amini hakiko sawa!
With reference kwa jirani zetu KENYA wamepata katiba waliyokuwa wanaihitaji cha kiasi kikubwa but ufisadi bhado ni donda dugu kwao!!
Well said !!Kuwa na katiba ni jambo moja na kuiheshimu, kufuata matakwa yake na kuilinda ni jambo jingine.
Hata hivyo, kudai katiba mpya kama hakuna utamaduni wa kufuata iliyopo ni kupoteza raslimali bure, ni kama kununua kitu ambacho hutakitumia.
Ufisadi wa nini mbona uongelei ufisadi wenu hapo eti mnaidai serikali 1.6 billion sijui kwa biashara hipi?Kupata katiba nzuri si mwarobaini wa unacho amini hakiko sawa!
With reference kwa jirani zetu KENYA wamepata katiba waliyokuwa wanaihitaji cha kiasi kikubwa but ufisadi bhado ni donda dugu kwao!!
Kama msemaji wa chama hatakuwa akisema maneno yake bali chama kitamtuma aseme nini!!
Msigwa alichemka ile mbayaNamkubali sana. Hasa siku ile alipokaribishwa Channel ten na Mh sana Msigwa. Ma
Nadhani kinachohitajika zaidi ni kuhakikisha kuwa kunakuwa na Integrity over! Tukimaliza hili tutahitaji sasa hizo mbwembwe zingine za katiba, ili hata hiyo katiba mpya ambayo tumetumia na tutatumia rasilimali nyingi sana iweze kutufaidisha!!Tunahitaji kujua kama bado anaamini taifa linahitaji katiba mpya na kama kwa nafasi yake mpya ataipigania waziwazi.
Hapo ndipo tutajua rangi zake za kweli.
Hata namba moja kachemka, polepole angekuwa anasimamia anachokisema na kukiamini asingekubali kuteuliwa kwenye nafasi yoyote ndani ya ccm maana polepole ana amini katika serikali 3 lakini tangu apate vyeo hajafungua mdomo kudai hilo, polepole ni mchumia tumbo kama walivyo wengine wengi ila ni kiumbe kinachokula kama panya kinag'ata na kupulika yeye alijinasib kama POPO si ndege wala si mnyama, wenye upeo finyu wa kufikiri wakaona ni mnyama.namba 2 umechemka!!!!
Siku ile Msigwa alifunikwa vibaya sanaNamkubali sana. Hasa siku ile alipokaribishwa Channel ten na Mh sana Msigwa. Ma