Humphey Polepole ni badiliko kubwa CCM

Humphey Polepole ni badiliko kubwa CCM

Hata Mungufuli tuliambiwa ni badiliko kubwa ndani ya chama lakini anachofanya sasa si habari mpya.
Kumbe habari mpya siyo mabadiliko?
Mimi siyo mwanachama wenu lakini kwa macho yangu naona kabadili sana either ni yanayokufurahisha au no huo ni mjadala...
 
Kumbe habari mpya siyo mabadiliko?
Mimi siyo mwanachama wenu lakini kwa macho yangu naona kabadili sana either ni yanayokufurahisha au no huo ni mjadala...
Mabadiliko yanatakiwa yawe chanya,....tofauti na hapo ni uharibifu!
 
Kimsingi huwezi kupinga serikali mbili alafu ukawa mwenezi wa wanaozitaka tatu!! Tufike mahali tukaepembeni tunapopewa majukumu yasiyoendana na falsafa zetu though maisha ni magumu
 
Back
Top Bottom