Human microchips analysis


Mkuu a microchip sio kwamba hakuna, hata chips nyingi zilizopo kwenye simu na electronics devices nyingi tunaweza ziita microchip based on their sizes, sema sio microchip ya kumcontrol mtu ubongo, hiyo hakuna kampuni inaweza tengeneza, technology haijafikia hapo, ubongo wenyewe hatujui vizuru unavyofanya kazi leo hii useme tumgeuze binadamu kua robot. Wajinga ndio wanaliwa daily...

Sio kila neno microchip means a brain controlling bug ambayo inaletwa sijui na shetani gani, hehehe! Biblia naona watu wameishika vibaya. Hii story nimeanza kuisikia miaka 16 iliyopita, bado hawajawapa watu hizo microchips au tayari wanawacontrol brain hamjui. Hehehe! Em tuache ujinga sasa turudi kwenye reality
 
Ataambiwa tuu hakuna kupata huduma yoyote bila kua na hiyo kitu.

Ni kama ilivyo sasa huwezi sajili Sim card yako bila NIDA, hivyo tuu yaani.
 
Hakuna namna mkuu. Huwa nawa sikiliza wapendwa makanisani kwetu wanavyo peanaa mbinu za kuepuka nabaki kuwashangaa tuu

Upeo...Imani bila maarifa ni mzigo mzito sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…