BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 7,983
- 20,046
cloning imezuiliwa kwa binadamu kwa sababu za kimaadili
Nani anaweza kuwazuia wenye mamlaka kufanya wanachokitaka!?
Eti imezuiliwa!



This is willful ignorance.
cloning imezuiliwa kwa binadamu kwa sababu za kimaadili



Sawa mkuu, umeeleweka vizuriNani anaweza kuwazuia wenye mamlaka kufanya wanachokitaka!?
Eti imezuiliwa!
This is willful ignorance.
Most of them it's true mkuu try to find some books they explained everything.Duniani kuna conspiracy nyingi sana hasa zinazo wahusu wazungu, specifically USA, ni either tunadangayana kupitilizaa, au ni zaidi ya tuzaniavyo...
Unatoka kuita watu, unawaambia nimejikuta nimelala nakati niko hapa.Mpaka ni sadikiView attachment 2670865
Unatoka kuita watu, unawaambia nimejikuta nimelala nakati niko hapa.
Hapo sijui wamuamini nani


mimi nitamuamsha kwanza nimuulize kafikafikaje hapo kitandani na nani kamleta! Nitamuuliza majina ya watu muhimu kama anayafahamu na maeneo muhimu na nitaishia kumtiririsha akatafute pakulalaIlikuwa ya anorld ehh??nimekumbuka the 6th day ya 2000