HUMAN CLONING: Kuna ukweli hapa au Nyambu?

HUMAN CLONING: Kuna ukweli hapa au Nyambu?

Kumbuka kuundwa kwa mtu haihusiki DNA ya upande mmoja. Lazima kuwe na seli mbili, hivyo product lazima iwe tofauti naya mwanzo
 
Duniani kuna conspiracy nyingi sana hasa zinazo wahusu wazungu, specifically USA, ni either tunadangayana kupitilizaa, au ni zaidi ya tuzaniavyo...
Most of them it's true mkuu try to find some books they explained everything.
 
Unatoka kuita watu, unawaambia nimejikuta nimelala nakati niko hapa.
Hapo sijui wamuamini nani
mimi nitamuamsha kwanza nimuulize kafikafikaje hapo kitandani na nani kamleta! Nitamuuliza majina ya watu muhimu kama anayafahamu na maeneo muhimu na nitaishia kumtiririsha akatafute pakulala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom